Kwa wamama na wadada .only...

GodFather

Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
40
Reaction score
12
Kwa wamama na wadada ambao ni above 18 mpaka 60...
ambao wana interest na male company for fun na weekend gateways..
pm please....
napenda kusafiri around east africa na starehe zaidi...no commitment...
just some good times....
gharama zote juu yangu

pm zote zitajibiwa..
 
kila kitu ni pm ...
njoo pm...upate details...
 
hakyanani utawapata paka ukimbie . zaidi ya nusu ya wanawake wa JF wataku pm . lakini angalia usije ukamgusa wangu utakojoa dagaaa. :hatari:
 
Kirahisi hivo uwazungushe East Africa nzima bure tu, haya sasa wajitaidi kuweka na akiba ya kununulia ARV
 
Mhhhh... that was a good move.. utawapata wengi
 
I will...no worries.....
but hajasema tunaenda wapi......
kama ni Tandahimba atanisamehe.....

Preta usijali kabisa.... I have a good feeling about the guy,
Hio avatar ameweka yaonesha kua anapenda kua mtu wa nakshi
na kama hayuko hivo basi he is striving kua hivo. Jina anatumia
God Father.... Hapo ina maana the Man can handle anything.... not to mention a true lady.... lol

Tandahimba kama ipo kwenye list naamini atawapitisha kwa Helicopter....
 

Nimekupa like maana nimeona hujapata hata moja since 2008.
 
Nimekupa like maana nimeona hujapata hata moja since 2008.

Mie nimekupa Like sababu umeni convince God Father anahitaji Like kwa kweli....lol

dahh miss u a lot my dear
hujambo lakini umetutupa sana jamani
utanijoi kuvisit east africa na huyu papaaaa?


Mimi mniachie responsibilities za home... Nitakua house keeper wa nyumba ya Preta, Kaunga, Black woman pamoja na wewe Smile. Nikiamini wote mpo single.....🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…