Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Kwa utafiti mdogo niliofanya kuhusu mwenendo wa biashara katika soko la kariakoo nimeona kuna fursa ambazo zinaweza kusisimua zaidi biashara na kuwezesha kukuza mauzo ya wamiliki wa maduka ya nguo ya Jumla na Rejareja Kariakoo.
Iwapo wewe ni mmiliki wa duka la Nguo kariakoo na ungependa kufahamu zaidi kuhusu fursa hii tafadhali tuwasiliane kwa email:masokotz@yahoo.com
Fursa kwa ufup itakuwa na faida hizii:
Kwa mawasiliano zaidi:Tuma email kwenda masokotz@yahoo.com.
Iwapo wewe ni mmiliki wa duka la Nguo kariakoo na ungependa kufahamu zaidi kuhusu fursa hii tafadhali tuwasiliane kwa email:masokotz@yahoo.com
Fursa kwa ufup itakuwa na faida hizii:
- Duka lako litakuwa na online shop
- Utaunganishwa na wateja wa jumla na rejareja
- Utapata fursa ya kushiriki katika matukio mbalimbali ya promotion
- Utajifunza mbinu mbalimbali za biashara na msoko
Kwa mawasiliano zaidi:Tuma email kwenda masokotz@yahoo.com.