Ndo akili yako inachowaza tu hicho,??Ndo tabu ya kuwa domo zege.umetongoza kisha wakakupanchi,halafu waleta maneno mingi kama charahani."pambana na ushauri wako".nakuombea nusu salama hiyo namba 1 hadi 4 uvipate vyote kwamba pamoja
Ukionewa wakati wowote niite nikusaidie mkuu, usijali.lazima penye wengi magenius kama nyie muwepo ! atleast umenitaja kwenye moja ya magroup hapo juu !
ngoja niendelee na miye kunyonya wine hapa
Ukionewa wakati wowote niite nikusaidie mkuu, usijali.
Niachie nimuoneshe kuwa mjini haonewi mtu,ahsante kaka from another mom!kuna mtu ananioneaga sana mie humu ! nampa last warning aisee !nishapata mbabe wake teh!
Niachie nimuoneshe kuwa mjini haonewi mtu,
Tena inawezekana kaja kwa mbio za mwenge, usikonde kabisa mkuu.
Nakuelewa.Aisee. Rafiki umetoa ujumbe mujarab ila nilichogundua jf uzi ukiwa unakaribiana na ukweli lazima usipate wachangiaji.
Ila kama mie nimekuelewa sana rafiki. Ni ujumbe tu huu kusuka au kunyoa ni kwa yule anayeyasoma na kuona yana maana kwake.
Ubarikiwe sana aisee.
Kumbe ni huyu bwana Mdogo Behaviorist ndio anayekusumbua, basi leo lala kwa raha zako, hatakusumbua tena mkuuhahhahaha safi sana napenda sana watu wababe aisee Behaviourist uache kbs kunionea tena ! nitakukabidhi kwa mjeshi utajuuutra
Kumbe ni huyu bwana Mdogo Behaviorist ndio anayekusumbua, basi leo lala kwa raha zako, hatakusumbua tena mkuu
You are welcomehuyo huyo !asante sana jombaa
thank youYou are welcome