Umetunyanyapaa ambao hatujaolewa ingawa tungeweza kuwa na ushauri hapo.
Haya ngoja niaccept terms & conditions.
Umetunyanyapaa ambao hatujaolewa ingawa tungeweza kuwa na ushauri hapo.
Haya ngoja niaccept terms & conditions.
Je umeshawahi kujiuliza maswali haya? Na uliyapa majibu gani? na uliyafanyia kazi? Nini matokeo yake? Na umepata faida gani?
1. Ni nini kinachohitajiwa ili kuwa mume mzuri?
2. Mwanamke anawezaje kufaulu kutimiza jukumu lake akiwa mke?
3. Ni nini kinachohitajiwa ili kuwa mzazi mzuri?
4. Watoto wanaweza kufanya nini ili maisha ya familia yawe yenye furaha?
Karibuni tujadili
kumbe hujaolewa...asavali ngoja niku pm tutete!
Je umeshawahi kujiuliza maswali haya? Na uliyapa majibu gani? na uliyafanyia kazi? Nini matokeo yake? Na umepata faida gani?
1. Ni nini kinachohitajiwa ili kuwa mume mzuri?
2. Mwanamke anawezaje kufaulu kutimiza jukumu lake akiwa mke?
3. Ni nini kinachohitajiwa ili kuwa mzazi mzuri?
4. Watoto wanaweza kufanya nini ili maisha ya familia yawe yenye furaha?
Karibuni tujadili
siafiki mama...hebu vaa miwani usome tena!!Umetunyanyapaa ambao hatujaolewa ingawa tungeweza kuwa na ushauri hapo.
Haya ngoja niaccept terms & conditions.
siafiki mama...hebu vaa miwani usome tena!!