Kwa wana udsm tu.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Fungua aris,check matokeo yako,then tuhabarishe una supp ngap..binafc cna supp ila nina makarai ya kutosha.over
 
Pole sana kwa hiyo unacheza na gpa ya 2 ungekuja saut we ungecheza kwenye 4.6 hivi
 
Pole sana kwa hiyo unacheza na gpa ya 2 ungekuja saut we ungecheza kwenye 4.6 hivi

cko kwenye 2 mkuu,nachezeaga kwenye 3 cku zote.
 
Mbona umesema kwa wana udsm tu halafu kuna saut tena? Ila nionavyo saut kitabu ni zaidi maana mwasoma hadi j1? Si wenzenu j1 hatumo ni kujisomea tu.
 
Ngoja nikutumie jina langu na password unicheck! Naogopa sana
 
Aise hebu niabgalizie na mimi aise nakutumia no hapo
 
Ngoja nikutumie jina langu na password unicheck! Naogopa sana

we fungua na ucheck mwenyewe mkuu.kwan uko college gan wewe,kama uko coet nakupa pole in advance?
 
hongera sana mwaya,maana wenzio hata hiyo supp hawana
 
cko kwenye 2 mkuu,nachezeaga kwenye 3 cku zote.

we si ndiyo mwenye average ya 3.7-3.9, ushajichanganya tena? Kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu, nilishasema we una GPA ya mkwe.re ukabisha....hiyo average siyo 3 kama unavyojinadi
 
Kwa hapa BAED Wagawaji wa sup ni CL 106,EP101,na EF100 I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…