Kwa wanachama wa NSSF, hakikisha unakwenda sambamba na mwajiri wako kwa michango yako ya kila mwezi' kwa kufuata utaratibu
huu hapa chini:
KUJUA KIASI ULICHO CHANGIA KWA WANACHAMA wa NSSF:
Fuata maelezo yafuatayo;
welcome to NSSF MOBILE
To register' write the word REGISTER leave space, enter your NSSF ID then send to 15747
Karibu NSSF MOBILE,
Kujisajili tuma neno SAJILI acha nafasi, andika namba yako ya NSSF, kisha tuma kwenda 15747
Utapata ujembe unaosema:
Welcome NSSF member to NSSF MOBILE!
Send BALANCE to get your balance, STAT. to get STATEMENT. send to 15747
utapatiwa:
your last ten contributions
Source: NSSF "PA"
Hapana ni ngumu sana kupata mafao yako bila barua kutoka kwa mwajirihivi naweza pata mafao yangu bila barua toka kwa mwajiri wangu wa zaman, maana nimeangalia salio nina chochote na mm kwa sasa cpo dsm, mwenye ufaham juu ya hili naomba anipe maelekezo.
Kama upo kwa muajiri mpya barua inayotumika ni ya muajiri mpya si yule wa zamani na kama hujawahi kuendeleza michango tangia uachane na muajiri wa zamani basi barua lazima upate toka kwa muajiri wa zamani.Hapana ni ngumu sana kupata mafao yako bila barua kutoka kwa mwajiri
Hakuna taarifa ya kubadilika kwa sheria bali ucheleweshaji umeonekana kwa sababu ambazo mpaka sasa haziko wazi.Hivi ni kwel kuwa sheria imebadilika ya mtu ukiacha kaz ati ukishamaliza taratibu zote baada ya miez 6 ndo unapata mafao yako?? Nawaswas apa!!! Msaada tafadhali
Ahsante sana!!! Tuendelee kuwa pamoja brothrHakuna taarifa ya kubadilika kwa sheria bali ucheleweshaji umeonekana kwa sababu ambazo mpaka sasa haziko wazi.
Hiyo ya miezi sita hata mimi nimekutana nayo Arusha nikaomba maandishi yanayoonyesha hiyo kitu nilipata majibu mabaya sana. Hawana maana ni wabovu na wababaishaji tu. Kama kuna mtu alienda tarehe 2/8/2016 kulikua na waraka unaoonyesha ukiachiwa kazi wanafanya uhakiki wa siku 30 kujua kama kweli umeachishwa kazi ndio uendelee na process nyingine sasa cha kushangaza wametoa ule waraka halafu wanakujibu tu kwa mdomo kua mafao ni baada ya miezi sita uupuzi mtupu.
Kuna zengwe apa!!! Sasa wewe umeamuaje mana mm hili nalivalia njugaKuna zengwe apa sasa nini kinaendelea na ww umeamuaje
Register 36411752 15747