hata niliyechoma UDSM, kozi ya veta nakaribishwa?
Juzi nilipigwa Exile Saa sita hadi saa8,Usiku saa2 hadi saa5,sema nlikua najisomea,Exile ilikua na Faida
Wewe hawa wanachuo dada zetu hamna kitu utakuta anamiliki mabwana kama kum wizara mbali mbali
Mwaka 2009 nikiwa mwaka wa kwanza nilitaka kuingia ktk relation na mdada fulan na alikuwa ready japo mie nilichelewa kujinafasi kwa kutii life style yangu kwa kuwa binti mkali kuna lecturer akaanza kumchukua.
Kwa kweli nilipata wakati mgumu na nikajua siwez share na mkufunzi na kwa kuwa huyu lecturer alikuwa anajua kuwa yule dada tupo karibu alihisi ntachukia.
Mie nikamfuata lecturer na kumwambia my sister loves you so much as she talks about you more than studies
... akasema "I always know this lady is yours"
Nikamwambia she is my relative as you know African clans.
Mpaka leo yule ticha ni rafiki wangu na yule dada ni rafiki wa kawaida.
Sitaki tena mwanachuo mpaka sasa nimeliweza!
kwa ujumla bora hata makahaba kuliko wanavyuo.