Kwa wanafunzi wote wa digrii ya kwanza wasio na uwezo wa kumudu gharama za masomo yao

Napata ukakasi kidogo kwenye hii hapa...ngoja nikae pembeni kwanza..!!
 
niambieni wadau jinsi ya kupata fomu za mkopo kutoka hazina wa chuo niko mwaka wa kwanza ifm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…