galagaja mtoto Member Joined May 24, 2012 Posts 84 Reaction score 33 May 30, 2012 #1 Hivi hawa secreteriat ya ajira wanatumia njia zipi/kuita kwenye intavyu? nina wasiwasi nisaidieni. kwa wanaofahamu nisameheni kwa usumbufu wangu.
Hivi hawa secreteriat ya ajira wanatumia njia zipi/kuita kwenye intavyu? nina wasiwasi nisaidieni. kwa wanaofahamu nisameheni kwa usumbufu wangu.
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,199 Reaction score 8,761 May 30, 2012 #2 Nina mashaka na swali lako, unataka criteria au njia? Kama unauliza njia ni wazi wanatumia contact ulizoweka kwenye application zako!
Nina mashaka na swali lako, unataka criteria au njia? Kama unauliza njia ni wazi wanatumia contact ulizoweka kwenye application zako!
galagaja mtoto Member Joined May 24, 2012 Posts 84 Reaction score 33 May 30, 2012 Thread starter #3 PakaJimmy said: Nina mashaka na swali lako, unataka criteria au njia? Kama unauliza njia ni wazi wanatumia contact ulizoweka kwenye application zako! Click to expand... asante mzee, lengo sio kriteria bat komunikashen style yao, i mean sim, magazet, radio, tv, net, au chochote kinachofanana nacho, nijuzeni vyote ili niwe tuned
PakaJimmy said: Nina mashaka na swali lako, unataka criteria au njia? Kama unauliza njia ni wazi wanatumia contact ulizoweka kwenye application zako! Click to expand... asante mzee, lengo sio kriteria bat komunikashen style yao, i mean sim, magazet, radio, tv, net, au chochote kinachofanana nacho, nijuzeni vyote ili niwe tuned
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 May 30, 2012 #4 Wanakupigia simu tuu.
Zux de JF-Expert Member Joined Apr 29, 2012 Posts 226 Reaction score 20 May 30, 2012 #5 Huwa wanatoa majina wale wanaotakiwa kwa ajili ya usaili. Na hutoa kwenye website yao na kwenye magazeti!
Huwa wanatoa majina wale wanaotakiwa kwa ajili ya usaili. Na hutoa kwenye website yao na kwenye magazeti!
Kilahunja JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 1,500 Reaction score 343 May 30, 2012 #6 zux yuko ryt, wanatoa kwenye magazet au website zao.
MAUBIG JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 1,039 Reaction score 855 May 30, 2012 #7 Huwa wanatumia njia zote ya simu, magazeti na website zao kwa mfano mie waliinita kwa simu na tangazo pia nililipata kwenye PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
Huwa wanatumia njia zote ya simu, magazeti na website zao kwa mfano mie waliinita kwa simu na tangazo pia nililipata kwenye PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS