Kwa wanaofahamu vyuo vya kilimo!!!

HMJ

Senior Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
157
Reaction score
21
wakuu naomba munisaidie kama m2 anajua maombi ya vyuo vya kilimo deadline yake mwisho lini na facat gan nzur kusomea na ada shilingi ngapi na vigezo katka ufauru ukoje??

Thanks!!!!
 
course zipo nyingi ni choice ya mtu so angalia SUA in your tcu guide book utapata mwongozo wa kila kitu
 
Wewe mwenyewe umetoa maelezo nusunusu,hujasema umefaulu kwa kiwango gani ,Kwanza ni nani alikudanganya form four direct anaweza kujiunga chuo kikuu TZ? hata kama una 'wani' ya saba, dogo chuo kikuu huwezi kwenda moja kwa moja, ni mpaka umalize form six na ufaulu,kama una cheti cha form four peke yake nakushauri tafuta kwanza certificate/diploma halafu ndo uanze kuwaza habari za chuo kikuu. Kama hujaelewa tena... basi
Hayajanitoshe maelezo mkuu
 
certificat in agrcultur.Kutma maomb mwsho 30 june.Pitia web ya wzar y kilimo kw maelezo zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…