Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wandugu kuna habari ambazo s njema kwa waliojiandikisha kufanya mitihan ya board ya ugavi NBMM!ni hivi:mwanafunzi haruhusiw kufanya mitihani zaidi ya minne kwa wakati mmoja!hii ina maana kwamba hata ukiwa una referal a somo moja kwenye course yako huruhusiwi kufanya mengine ya level inayofuata had umalize hilo moja ulilobakiza!je hzi habari zina ukweli?kama ni kweli bas board watu watakaua wanamaliza baada ya miaka 6!