Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
hata cjaelewa bado,hyo bodi inadil na mambo gan na hyo mitiani mnafanya ya nin?NBMM ni national board of materials mgt!stage 2 kwa mkupuo ndio wamepiga pin.kwa hiyo huwez kusoma mf.P3 and P4 kwa wakat mmoja!na ukikamatwa somo 1 kwenye P3 lazima umalize ndio uruhusiwe kufanya P4
ok,asante joh.mkuu click hii link Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB) huko utajua hiyo board inahusu mambo gani!