There are so many beautiful women around the world acha hapa tz tu! So as long as umefikia hatua ya kuamua kuoa/kuolewa umekiri kwamba upo tayari kuachana na matamanio mengine yote na unae muoa au kuolewa nae ndie chaguo lako! So mshenga awe sura ndina au awe mzuri IT SHOULDNT BE UR CONCERN!