Kwa wanaohitaji kufuga Kwara, vifaranga vinapatikana na elimu bure

Kwa wanaohitaji kufuga Kwara, vifaranga vinapatikana na elimu bure

veran

Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
12
Reaction score
4
Sisi ni wafugaji wa kware wa mayai ambao hutaga wiki sita tu baada ya kuanguliwa na huendelea kutaga kila siku kwa miezi 30. Kwa mwaka hutaga wastani wa mayai 280 hadi 300. Tunauza vifaranga (kware) wa wiki moja shs. 4000, Wiki mbili shs. 6000, na wiki nne shs. 8000. Tuko Mbezi Luis, wilaya ya Kinondoni jijini Dar Es Salaam. Tunapatikana kwa simu no. 0715 284 187 au 0715 342429. Tunatoa elimu ya ufugaji bure. Mayai pia tunayo bei ni shs. 20,000 kwa trei. KARIBUNI
 
VP nichangamoto gan hasa hawa ndege wanazo wakat wa kuwafuga nauje hamuuz Vifaranga wacku nikaanza kuwatunza mwenyewe ni beigan
 
sasa ao kwale ni wa kuliwa kama kuku au!!? maana mi najua n ndege wa porin!!af mbona bei yake n kubwa kuliko ata kuku
 
Back
Top Bottom