Kwa wanaohitaji msaada wa sheria

daymadaba

Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
17
Reaction score
7
Tunatambua mahitaji ta wadau mbalimbali katika kudai haki mbalimbali, najua siyo yote yanaweza kuelezeka hapa kwa jamii forum, kuna mambo ambayo ni so personal mtu hawezi kujieleza humu, mwenye swala lolote anaweza kunitumia email kwa email ya rsongea@yahoo.com ili kusaidiana kwa mambo haya, na kwa wale walio Lindi na Mtwara waweza kututembelea hapa Mtwara kwa msaada zaidi. Tusaidiane wapendwa japo kwa kidogo tulichojaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…