kigamboni B,bei gani mkuu?View attachment 2717866
80,0000 Kariakooo View attachment 2717858
Ni sawa tu na friji za mtumba..mimi nina redio ya mtumba hapa umeme unaenda balaa!Mchawi umeme zinakula umeme
Mkuu nahitaji hii, nipe location yako...
Nahitaji hii kwa ajili ya mwanangu
Mkuu kinatumia umeme wa Tanesco au hata battery za abc?