Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji121]
Wakuu
Leo nimegundua kumbe ile kozi ya *sp_319 (shato_pori)* niliyoipiga kwa vitendo kutoka mabibo_hostel hadi mlimani_main_campus nikiwa chuoni ina umuhimu mkubwa sana
Hasa katika kipindi hiki nyeti cha kusubiria ajira zetu.
Kumbe kutoka *simu2000* mpaka *bunju_b kwa yong'eyong'e*
Sio mbali hata kidogo.
Baada ya kupiga mahesabu ya buku yangu iliyobakia mfukoni
Na kugundua kuwa nikitoa 500/= ya nauli
Yabidi nisahau kuhusu mlo wa usiku,
Basi leo nimetembea kwa miguu kutoka *mawasiliano* hadi *bunju b*
Na nikaona kawaida tu!
Ushauri wa bure:
Hii kozi ya *shato_pori 319*
Iwe ni ya lazima vyuoni
Kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho.
Kwani ina msaada mkubwa sana katika kipindi kigumu kiuchumi.
-------
Na nadhani hata ile intavyuu niliyoitwa alhamisi *babati*,
Nikikurupuka zangu j.5 alfajiri kwa staili ya jogging,
Kufikia saa kumi na moja jioni nitakuwa eneo la tukio kusubiria intavyuu.
Na ni kwa nia tu marafiki.
Wakuu
Leo nimegundua kumbe ile kozi ya *sp_319 (shato_pori)* niliyoipiga kwa vitendo kutoka mabibo_hostel hadi mlimani_main_campus nikiwa chuoni ina umuhimu mkubwa sana
Hasa katika kipindi hiki nyeti cha kusubiria ajira zetu.
Kumbe kutoka *simu2000* mpaka *bunju_b kwa yong'eyong'e*
Sio mbali hata kidogo.
Baada ya kupiga mahesabu ya buku yangu iliyobakia mfukoni
Na kugundua kuwa nikitoa 500/= ya nauli
Yabidi nisahau kuhusu mlo wa usiku,
Basi leo nimetembea kwa miguu kutoka *mawasiliano* hadi *bunju b*
Na nikaona kawaida tu!
Ushauri wa bure:
Hii kozi ya *shato_pori 319*
Iwe ni ya lazima vyuoni
Kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho.
Kwani ina msaada mkubwa sana katika kipindi kigumu kiuchumi.
-------
Na nadhani hata ile intavyuu niliyoitwa alhamisi *babati*,
Nikikurupuka zangu j.5 alfajiri kwa staili ya jogging,
Kufikia saa kumi na moja jioni nitakuwa eneo la tukio kusubiria intavyuu.
Na ni kwa nia tu marafiki.