P pevu Senior Member Joined Sep 2, 2016 Posts 110 Reaction score 70 Nov 9, 2016 #1 Nataka kujua bei ya embe, mimi nipo Kahama, Shinyanga. Tafadhali mnaojua bei kwa azam na kwingineko naomba mnijulishe. Nina gunia zaidi ya 150 nataka niangue hivyo nataka kujua bei kwa kilo au gunia.
Nataka kujua bei ya embe, mimi nipo Kahama, Shinyanga. Tafadhali mnaojua bei kwa azam na kwingineko naomba mnijulishe. Nina gunia zaidi ya 150 nataka niangue hivyo nataka kujua bei kwa kilo au gunia.
kenstar JF-Expert Member Joined Aug 24, 2015 Posts 2,276 Reaction score 1,443 Nov 9, 2016 #2 Bei gani unauza Kwa gunia tufanye biashara