Kwa wanaojua ufugaji wa kuku wa nyama vizuri

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,526
mimi nimehitimu chuo katika mambo ya biashara na computer ya IT sasa katika kukaa mda mrefu kitaa nimeona nianze biashara ya kufuga kuku wa nyama kama mama yangu alivyo kuwa anafanya sasa kwa sasa nina banda zuri tu na nina taka kuanza na kuku mia mbili tu na kama biashara ikiwa nzuri nita ongeza mataji kwa kweli naomba kujua fitu vifuayavyo"
1)faida ndani ya hao kuku 200 ukitoa mtaji
2)kujua jinsi ya kuwa na kuku bora na wakubwa hata ikiwezekana madawa mazuri ili wanone
3)pia kuhusu kufa kwa huwa kipi kina wauwa sana
4)na ushauri wako kama mdau
 
Kwa nni usiendeleze field yko ukafungua hata duka ukawa unafanya repair ya vitu vya electronics na kutoa huduma ya ushauri kwa masuala ya field yko, kwa sababu mpka umesomea IT na ukaacha agriculture inamaansha unaipenda sana hyo fani ucfanye kwa kuwa mama alifanya, na hata ukfanya unahtaji ushauri wa kina na kufanya field kwa ambao wanaofuga na cyo kwa kusoma text za simu utakazojibiwa apa JF uchunguzi unaonyesha asilimia 75 wanaoanza biashara hapa TZ huwa haziendelei, jirdhshe na jitathimi vya kutosha kabla ya kuingia ktka field flani....
 
Mi nawafuga tena nachukuaga 200 but changamoto ni moja msosi!! Ukitaka wakue haraka lisha msos wa dukan lakin faida inazd kuwa ndogo!! Ukitaka faida iongezeke lisha chakula cha kuchanganya mwenyewe!! Faida n kama lak2 na nusu au laki tatu hivi ukitoa na vitu vingine
 
asante kijana wangu wewe unafugia mkoa gani hasa na soko la kuku mmoja limefika shilingi ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…