Kwa wanaojua

Kwa wanaojua

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
880
Kuna ndugu yangu alifanya interview erolink jana it was written interview je huwa wanachukua muda gani to call for second interview? Anataka kujua maana yeye anakaa mkoan thanx
 
Inategemea na uhitaji, it may take a week, 2, or 3 .
 
Duu kwahiyo unamshauri bora arudi kijijin akangojee maana ameshukia kwa ndugu mtata akadhan angeweza kungoja kwa siku mbili tatu kumbe huwa inachukuwa muda kidogo? Du asante mkuu ngojea nimwambie ajipange
Inategemea na uhitaji, it may take a week, 2, or 3 .
 
Back
Top Bottom