Kwa wanaooa mwanamke zaidi ya mmoja!!!!!!!!

Digaller

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2009
Posts
798
Reaction score
541
Swali:-

  1. Je unapoenda kulala kwa mke mdogo unamuaga vipi mke mkubwa?
  2. Je unamwamini vipi mkeo kama na yeye achakachuliwi uwapo kwa mke mdogo?
  3. Je hivi mkeo akiingiza njemba na kulala nae utamlaumu?
  4. Je ni hatua gani utachukua ukikuta mkeo anachakachuliwa?
  5. Je kuna ubaya gani kama mkeo na yeye atakuaga kuwa anaenda kuchakachuliwa?
MY TAKE:- MLA VYA WENZAKE NAE VYAKE HULIWA!!!!!!!!:embarrassed:
 
mmmh.ninawafahamu wake wenza fulani,wanaelewana ajabu,na huwezi kuwaingilia kwenye ndoa yao.ila wanaoelewana ni wachache mno.maybe w.me mjibu hilo swali,maana wengine huoa kwa kuficha
 
Wanaume wengi wenye wake wawili wanapenda wasipatane ili competition yake yeye ndio anafaidi matunda.
 
Wivu nilonao siwezi akioa mke wa pili mie talaka mkononi
 
Hhahahahhahah uke wenza heshima kwa mwanaume mateso kwa wanawake:coffee:
 
Haya mambo nihiyari,
halazimishwi mtu...
 
Punguza ukali wa maneno ooohho utafanya watu wafe na presha humu.

 
Kama wewe huwezi waachie wanaoweza, usipandikize chuki tafadhali.
 
mmmh.ninawafahamu wake wenza fulani,wanaelewana ajabu,na huwezi kuwaingilia kwenye ndoa yao.ila wanaoelewana ni wachache mno.maybe w.me mjibu hilo swali,maana wengine huoa kwa kuficha

Unajua kuna muda tunatakiwa kuwa fair sisi wanaume, Kitu cha kujiuliza ni kwamba Je kama mkeo akikuomba awe na mabwana wawili or zaidi utakubali?:thinking:
 
Kama wewe huwezi waachie wanaoweza, usipandikize chuki tafadhali.

Sio kupandikiza chuki ila jaribu kufikilia kwa upande wako kama wwe je mkeo akikuomba awe na wanaume wawili utakubali????:coffee:
 
mmmh.ninawafahamu wake wenza fulani,wanaelewana ajabu,na huwezi kuwaingilia kwenye ndoa yao.ila wanaoelewana ni wachache mno.maybe w.me mjibu hilo swali,maana wengine huoa kwa kuficha

Thankx mkuu ila kwa utafiti wangu nliofanya nimegundua kuwa wake wenza wengi hawapatani.
 
Punguza ukali wa maneno ooohho utafanya watu wafe na presha humu.

Kama unakula vya wanakula vya wenzao nao vyao huliwa. afu hii tabia si nzuri kwa kizazi hiki ambacho kimekubwa na magonjwa ya ajabu.
 
Thankx mkuu ila kwa utafiti wangu nliofanya nimegundua kuwa wake wenza wengi hawapatani.

Na nafikiri wakiwa hawapataki mwanaume mambo yake yanaenda murua, ila wakipatana yeye mashakani!
 
Hilo swali ungemuuliza baba yako
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…