GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Acha kujifanya mjanja kwa hiyo ulitaka aseme danga au?Kwanini watu wa vijijini mnapenda kutumia maneno ya kizamani hivyo?
" Mahawara" ndio nini?
Mara ya mwisho kusikia mtu akitumia neno " mahawara" ilikuwa mwaka 1994.
Wenye hizo nafasi huzilinda kwa uchawa ujuetutakutajia Watendaji wako (hasa Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Wilaya)..
Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawa huwa unakutana nao kwenye hivyo vijiwe 15 vya kahawa na kashata na vi glocery/vi pub kama unavyoita bar za mjini.Generalization...
Vijiwe gani ?!!!
Ikiwa wa kahawa nami nasema si kweli....
Baada ya kupata fedha yangu ya kuuzwa jumba katikati ya mji nimeamua kutofanya kazi za nguvu nikiwa kijana na kuamua kushinda vijiwe vya kahawa vya mji huu.....kwa siku ninakunywa kahawa vijiwe 15 vya maeneo tofauti hapa Dar es salaam....ninachokisikia ni wengi kuunga mkono mkataba huu wa DP WORLD.....
Usiku huwa nakuwa Bar za mjini...siyasikii hayo USEMAYO....
Punguza uongo kidogo.....
Vipi jamaa yako uliyesoma naye SAUT...mkurya B......o hajambo ?!!!
Kwa hiyo mkuu atumie tem gani, mchepuko au nyumba ndogo?Kwanini watu wa vijijini mnapenda kutumia maneno ya kizamani hivyo?
" Mahawara" ndio nini?
Mara ya mwisho kusikia mtu akitumia neno " mahawara" ilikuwa mwaka 1994.
Hiv wew 'Gasho' wa jelajela haunaga Kaz nyngne Zaid ya kumfuatilia Genta! unajishusha thaman sana ..tumekuchoka Pang'ang'a wew!! kila muda shobo kwake...utapgwa mkia Gasho weeh!Kwanini watu wa vijijini mnapenda kutumia maneno ya kizamani hivyo?
" Mahawara" ndio nini?
Mara ya mwisho kusikia mtu akitumia neno " mahawara" ilikuwa mwaka 1994.
KHiv wew 'Gasho' wa jelajela haunaga Kaz nyngne Zaid ya kumfuatilia Genta! unajishusha thaman sana ..tumekuchoka Pang'ang'a wew!! kila muda shobo kwake...utapgwa mkia Gasho weeh!
Nimemuachia Mungu atamalizana nae.Hiv wew 'Gasho' wa jelajela haunaga Kaz nyngne Zaid ya kumfuatilia Genta! unajishusha thaman sana ..tumekuchoka Pang'ang'a wew!! kila muda shobo kwake...utapgwa mkia Gasho weeh!