Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali

You are just talking to your diary

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wew jamaa wew, haki umenipa burudani asubuhi hii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 


Nakuelewa. Inahitaj discpline kuliko kawaida. All the best
 
Katika maisha tambua kitu "Muda"

Hakuna biashara mbaya kwenye maandishi.. Zote zinalipa vizuri sana but kiuhalisia changamoto ni nyingi sana..

Unauza kreti 1 ya soda ndani ya muda gani kukamilisha hiyo buku jero?

Ni watu wangapi kwa muda gani unamaliza katoni moja ya soda takeaway.

Kila biashara inafaida kama kutakua na mahesabu vs muda.
 
Hujazungumzia msaidizi mwizi,kodi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana tajiri aliyejiajiri,fedha yake atumii ovyo ukilinganisha na walioajiriwa.
 
Ndio maana tajiri aliyejiajiri,fedha yake atumii ovyo ukilinganisha na walioajiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…