[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa bhana. Hapo assume ni demu wa kitaa vipi akiimport toka mkoani si atafunga duka kabisaIla kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni madaftari ya aina gani?Daftar hua nachukua box zima kwa 35k...yanakuwa 100...nauza 50k...faida 15k
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji ni vyema nikaanza na kiasi gani?Kama utakuwa na mtaji mzuri fungua hardware. Vitu vyake vina faida kubwa kwa kimoja kimoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na malumbano kuwa biashara ya duka hasa rejareja haina faida....leo nitaleta baadhi ya bidhaa tu kupinga malumbano hayo..(maana ndo ishu nnayoifanya)
Just kabla sijaanza, ukitaka kuona mafanikio ya hii biashara wewe muuzaji uwe mtaji wa kwanza...!! Kichwa chako kiwe mtaji dukani pia mazoea kwenye duka pamoja na mahusiano ya kimapenzi weka pembeni kabisa
1. Soda
Pepsi huuza kreti kwa sasa 9500(soda jumla hua 24 kwenye kreti). Ukiuza jumla utapata 12,000(faida hua ni 2500)
Coca wanauza 10,000(hapa faida 2000). Take away zinauzwa katon 9,000 na znakuwa 12(faida 3,000)
2. Vocha
Hapa nazungumzia za kurusha...za kukwangua sincerely speaking sijawahi kuuza na sitarajii
- Tigo hutoa 6% kama faida kwa kila float utakayonunua(ukinunua float 10,000 unapata 600(hapa bado faida za kwenye vifurushi). Ukiunganisha internet ya buku kwenye float wanakata 900 mteja atakupa 1,000..100 ya kwako
Voda hutoa 8% kila unaponunua float(ukinunua float 10,000 unapewa 800(hapo pia kuna faida ukiunganisha vifurushi)
3. Maji makubwa Uhai
Lita 6 unanunua yakiwa matano kwa 8500 utauza kwa elfu 2 jumla unapata 10,000(1,500 ya kwako)
Lita 12 unanunua kila moja 2500 utauza kwa 3,500(1,000 kila dumu moja ni ya kwako)
4. Viberiti unanunua dazeni 4,500 unapata 9,000(4,500 ya kwako)
5. Pampers unanunua 14,000, zinakuwa 40(kila moja utauza 500. Unapata 20,000....(elfu 6,000 ya kwako)
6. Sabuni ya unga ya kufunga
Utanunua kiroba elfu 31,000. Ukifunga vizuri na kwa kipimo cha 500(faida mpaka 10,000 unapata)
Kuna vingi vya kuweka ila sitamaliza leo. Hapo bado sijataja unga, mchele, sukari, ngano, maharage, omato na vingne kibaaao
Hakuna biashara mbaya, ni wewe mfanyabiashara....!! Msimamo wako na unavyoichukulia biashara yako
Sent using Jamii Forums mobile app
mtaji ni vyema nikaanza na kiasi gani?
asante sana mkuumillion 5 kuendelea.ila ukianza na million 10 itakuwa poa Sanaa
weka
cement
nondo
misumali
mabati
plywood
ceiling body n.k
kitu kikubwa katika biashara KUWA NA KAULI NZURI KWA WATEJA WAKO UTAPENDWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuanzia mtaji wa hardware ni kama sh ngap mkuu?kama utakuwa na mtaji mzuri..
fungua hardware.
vitu vyake vina faida kubwa kwa kimoja kimoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hapa ndio ufanya nione ujinga hizi biashara nyingine tunaweza jiona huna akili na mipango ukajidharau kumbe wapi upo kwenye biashara ya kuchenji pesa hizi tunaita biashara za kuchenji pesa yani mtaji elfu kumi ukiuza unapata ile ile elfu kumi si ufala huoIla kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Zina faida sana hususan za tigo maana znatokaga saana.BradFord93 mkuu HV hio biashara ya vocha za kurusha utaratibu wake ukoje ukitaka kuifanya?
Yep..yana faida kama una mzunguko mkubwa mzigo wa tani 10 approximately maji 900 ukiweza maliza atleast kwa week ni vizuri.
Tena hapo kwako hakuna mzunguko mzuri, kuna mtu anamaliza mpka kreti tano kwa sikuInategemea na mzunguko wako.....ukiuza soda pia uwe na friji zuri...wateja hupenda soda zile baridi kweli...ndo hua nnachowakamatia hapo...nina kreti sita....ila ndan ya siku 2 kreti 3 tyr zmeisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Bando mabati ya Msouth Gauge 28 yanauzwaje ?million 5 kuendelea.ila ukianza na million 10 itakuwa poa Sanaa
weka
cement
nondo
misumali
mabati
plywood
ceiling body n.k
kitu kikubwa katika biashara KUWA NA KAULI NZURI KWA WATEJA WAKO UTAPENDWA.
Sent using Jamii Forums mobile app