Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali


Uliweka na friji pia?mpesa haikukupa faida
 
Ni kweli inalipa mkuu biashara hiyo ukiwa serious tuuuu hasa kwwnye vinywaji na vocha hizo za kurusha mkuuu
Ila nifahamishe na hao voda nami niwwke dukani kwangu
 
Ni kweli inalipa mkuu biashara hiyo ukiwa serious tuuuu hasa kwwnye vinywaji na vocha hizo za kurusha mkuuu
Ila nifahamishe na hao voda nami niwwke dukani kwangu

Friji zuri ni lipi?
 
asante sana kwakweli umefanya jambo jema sana naomba twendelee kupeana nondo juu ya biashara hii, ikiwezekana nitakufuata inbox.
 
Watu wanashindwa kuelewa jambo, mafanikio au maendeleo ya biashara huangaliwa kwa hatua ulopiga wew na biashara yako

Kama biashara inakua nawe maisha yanakunyookea then naweza sema inakupeleka kule utakako.

Mimo now nimepanga chumba now nna friji 2, now nna kreti 10 wkat nlkuw na 2 tu...mzigo dukan upo na nnawaza kuongeza zaidi

Kama mtu wasema hii biashara huwezi bas hakuna biashara utakayoweza maana biashara zote znafanana changamoto

Na pia kama wataka kufanya biashara na still unataka anasa kwa kiwango kikubwa unataka kuwa free kuzurura, kutumia hela, utaanguka wew na biashara yako.
 
Kama una nia kweli na biashara yako....weka upuuzi pemben...jua unatafta maisha...panga malengo....anza kazi....na uisimamie

Na hakuna kitu kinacholeta raha kama kuinyanyua biashara....hasa hii ya duka

Just kumbuka kuweka akiba au kucheza michezo ya kuchangiana ili kuongeza mtaji lkn pia kwa ajili ya mahitaji yako nje ya duka(ila chagua watu wanaoaminika na unaowaweza)
 

Hongera sana brad wengine humu wanaishi kwao kula kulala utashangaa wanakuzonga,,piga kaziiii kaka
Mi naonaga wenye hizi biashara wanajenga,wanasomeshaaa na wanaishi vizuri tu
 
Hongera sana brad wengine humu wanaishi kwao kula kulala utashangaa wanakuzonga,,piga kaziiii kaka
Mi naonaga wenye hizi biashara wanajenga,wanasomeshaaa na wanaishi vizuri tu
Mim nmemuona mama alipanga kwa baba...!!alkuwa mama ntilie akafungua duka!!

Now ana duka la jumla

Nmejifunza kupitia hlo na watu wengi niwaonao na biashara zao...!!

Na wengne now wanajifunza kupitia mimi
 
Hiii biashara inafaida na ndio maana tunafanya cha msingi pata eneo zuri hasa lako mwenyewe mara nyingi duka likichanua vizuri wenye maeneo baadhi yao uanza visa wanataka wakutoe nawao wafanye biashara kama ni rahisi hivyo kama sehemu ya kupanga chukua mkataba wa muda mrefu ama panunue,kingine jitahidi kujua maduka yanayouza vitu jumla kwa bei ndogo,nunua vitu kwa carton hii inakuwa na faida zaidi ya dozen kingine usimamizi mzuri kauli njema kwa wateja
 
Well brother
 
Hakuna kazi ngumu kama ya duka la reja reja ukitaka kuona faida ya biashara uwe kitega Uchumi kingine usitegemee hapo kwenye hilo duka, alafu uwe unauza mwenyewe kwasababu mfanyakazi akiiba hata 2000 kila siku tuu amekuacha.ni kweli faida ni ndogo ndogo sana unatakiwa kuwa makini sana.
 
Hii biashara miyeyusho Sana , issue ni moja Tu worksmart earn more na hapa ndo akli inatakiwa ufanye kaz ..biashara gani kila sku unakuwa na shati moja limejaa unga ..Mimi hamna wakuu, hii biashara inafaa wazee waliofikia umri wa kufunga mahesabu just wanatafuta hela ya Kula mana washajenga washasomesha na mambo mengi ya msingi wamefanya .... Kijana unatakiwa upige show za kibabe unakunja hata 500000 Kwa wiki siyo mbaya....
Ifikie hatua mazingira yasituendeshe Sana Bali Sisi ndo tuyabadili mazingira yaendane na tunachokitaka ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…