Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Unafanya biashara gani?Hii biashara miyeyusho Sana , issue ni moja Tu worksmart earn more na hapa ndo akli inatakiwa ufanye kaz ..biashara gani kila sku unakuwa na shati moja limejaa unga ..Mimi hamna wakuu, hii biashara inafaa wazee waliofikia umri wa kufunga mahesabu just wanatafuta hela ya Kula mana washajenga washasomesha na mambo mengi ya msingi wamefanya .... Kijana unatakiwa upige show za kibabe unakunja hata 500000 Kwa wiki siyo mbaya....
Ifikie hatua mazingira yasituendeshe Sana Bali Sisi ndo tuyabadili mazingira yaendane na tunachokitaka ...
Mi nina yadi ya mbao boss karbuUnafanya biashara gani?
Wasalimie wa Shunu na Zongomela
we jamaa fala sanaIla kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi, kreti la coca, paketi za sigara, pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama.
Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Show zipi ni za kibabe unaweza kuja 500k kwa wiki boss?Hii biashara miyeyusho Sana , issue ni moja Tu worksmart earn more na hapa ndo akli inatakiwa ufanye kaz ..biashara gani kila sku unakuwa na shati moja limejaa unga ..Mimi hamna wakuu, hii biashara inafaa wazee waliofikia umri wa kufunga mahesabu just wanatafuta hela ya Kula mana washajenga washasomesha na mambo mengi ya msingi wamefanya .... Kijana unatakiwa upige show za kibabe unakunja hata 500000 Kwa wiki siyo mbaya....
Ifikie hatua mazingira yasituendeshe Sana Bali Sisi ndo tuyabadili mazingira yaendane na tunachokitaka ...
Mwakani mwezi wa nane nitakutafuta nadhani nitakua napauaMi Nina yadi ya mbao boss karbu
Sawa mkuuMwakani mwezi wa nane nitakutafuta nadhani nitakua napaua
NAFAKA..Show zipi ni za kibabe unaweza kuja 500k kwa wiki boss?
fafanua nafaka unapigaje pesa?NAFAKA..
Hiyo biashara kuna mama mmoja wakichaga alikua anaifanya kwa sasa naona kafilisika..sijui ni wapi alikosea,alikua anashusha semi kila baada ya muda mchache tuSawa mkuu
Naungana nawe kusubiri somofafanua nafaka unapigaje pesa?
mtaji kiasi gani?
Wapi unanunua ??
Usafirishaji upoje??
Kodi zake??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi, kreti la coca, paketi za sigara, pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama.
Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulianza na mtaji kiasi gani mkuu? Ongea ili vijana wapate nguvu kwa walichonachoJust nia yangu n kuwa. Biashara kila mtu anaiona faida yake kwa pale anapoona imemfikisha
Nilikuw na friji 1 now nnazo mbili.
Nilikuw na kreti 3 za soda, now nna 10
Hii biashara ndo inayonilipia kodi nlikopanga
Just angalizo tu. Changanya biashara ukifanya hii biashara, ukitegemea duka tu utafeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari mnooInaonekana usimamizi mzuri unahitajika, maana maduka mengi ya mtaani yanaendeshwa kifamilia, kila mtu anauza, wengine pesa wanabana.
Halafu hii ni kweli kabisa mkuu ..umelenga mule mule ..na huu ndo usenge wenyeweshida iko hapa
TFDA...100,000
MIZANI...20,000
TAKATAKA...3000
KODI YA CHUMBA...100,000
UMEME...5,000
TRA...150,000
0SHA...???
LESENI...???
MLINZI...????
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi huo umeme wa kuzipoza hizo soda si unapunguza faidaInategemea na mzunguko wako. Ukiuza soda pia uwe na friji zuri, wateja hupenda soda zile baridi kweli ndo hua nnachowakamatia hapo nina kreti sita, ila ndan ya siku 2 kreti 3 tyr zmeisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila biashara na watu wake, mimi nafanya hii biashara nina duka la nafaka, ila kabla ya hapo nilikuwa nafuata mzigo wa mchele na maharage mbeya na iringa nauza kwa jumla. Nikaacha niliona miyeyusho maana sometimes nilikuwa naleta mchele unakaa wee wakati mimi nataka niuze week uishe nifuate mwingine. Niliona kama nimetia pesa nyingi, nguvu nyingi mapato kidogo, halafu sasa nikawa nasupply maharage shule flani baadae wakaanza nizungusha malipo ndipo nikaona hii biashara niachane nayo.NAFAKA..