Wakimbilia mkopo, jadilianeni bwana ila Mulugo kasema wanahitaji waalimu wa science 2. Nyie wa H kunan imekula kwenuuuuu.
ualimu Bongo makalio kweli wewe.. Mkopo unabadili ndoto na malengo yako pimbi wewe.kwa hyo na sie 2lioajiriwa 2taeukuzwa au?? maana naona akili zako ni kama za mulugo wewe!
ualimu Bongo makalio kweli wewe.. Mkopo unabadili ndoto na malengo yako pimbi wewe.
tumevamiwa,wewe unaepolomosha matusi unastahl kuwa upande huu au face book.ucha kuchafua hewa ya wasomi dogo.
kwahiyo aliyeanzisha fb n kilaza? Pu.mbu wewe
Window7 you're almost right...Tumia lugha nzuri kijana. Humu kuna watu na heshima zao. Isitoshe wewe ni kijana unayetakiwa kuwaongoza wadogo zako katika kujenga maadili.
Nimeona comment zako nyingi ziko kishari shari. Jitahidi kubadilika mkuu JF tumeikuta ikiwa na watu wastaarabu ndio nasi tukavutika kujiunga.