Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Hkl ,iyo kombi hata wazembe wenye iii.25 iii.24,iv.26 iv.27 iv.28,iv.29.wanafaulu labda ungesema pcb,pcm.komb rahisi iyo
mpiga msuli acha kudharau comb za wa2 wewe kila m2 angesoma pcb nani angeenda kumtetea dk namala mkopi, 2nategemeana katika maisha me mwenyewe pcb lkn namueshimu kila m2
mpiga msuli acha kudharau comb za wa2 wewe kila m2 angesoma pcb nani angeenda kumtetea dk namala mkopi, 2nategemeana katika maisha me mwenyewe pcb lkn namueshimu kila m2
Mh mh mh mh! PCB umeanzaje kuweka Thread ya HKL ambayo huijui. Yaani uache kuzungumzia Organic Chemestry uhangaike na HKL?
oyo masela nisameheni kama nimewaudhi washkaji!
Here i am finder boy! leta maneno!No body?!!
Kaka me ni mmoja wa aliyepiga iyo comb but kiukweli ugumu na uwepes wa masomo hutokana na mwanafunz mwenyewe. Jitahid kijana uta win necta
Nilisoma hyo HKL na huyo anaesema ni rahsi bs pasingekuwepo na wanaofel. Kila ki2 ni kigumu kwa anaekisoma so akina mpigamsuli heshmuni kozi za wenzenu cuz ndo zawaweka mjini! Back to ze topic:- soma sana vitabu na jenga uwezo wa kujieleza ktk insha ukhjibu maswali hasa ya vitabu kwa kumake quotations....!
we nawe umekurupuka 2 kwani umeona mimi ndo nimeweka hyo thread umevurugwa nini? Au unafikiri kusoma pcb ndo umewin maisha, maisha ni jinsi unavyostruggle kutoka , try 2 think big kijana