Kwa wanaotaka biashara ya mafuta ya alizeti singida kwa Sasa!

Kwa wanaotaka biashara ya mafuta ya alizeti singida kwa Sasa!

jogijo

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2019
Posts
260
Reaction score
495
Habari wakuu, kuna kipindi nilipost Uzi kwa wanaotaka kufanya biashara ya mafuta ya alizeti. Kuna watu wengi walinitafuta kuniulizia lakini kwa bahati mbaya hawakwenda na msimu ulivotaka.

Mrejesho wake, Kama unataka biashara ya mafuta mda na msimu wake n Sasa! Dumu Lita 20 yaani (Yan 18.5 kg) Ni tsh 80000 kwa singida mjini na 70000 kwa singida vijijini.

Unachopaswa kufanya, chukua mafuta nunua dumu lako 2500/3000 nenda viwanda vya ndani huko chukua mafuta ya kutosha tafuta usafiri 1000/dumu 1 Hadi mjini then endelea kuenjoy.

Bei ya kuuzia na faida wenyewe mnajua huko kwenu mafuta yanatoka kwa sh ngapi?

Usafiri kutoka mjini, technique zifuatazo zitumike.
1. Kama una leseni ya biashara kazi imekua rahisi kwako.
2. Fanya kusafirisha mzigo kidogo kidogo yaan dum tatu-tano kwa 3000-5000/dum. Hadi mzigo unaoutaka kukamilika.

Nawatakia kila la kheri.
Screenshot_20220603-172704.jpg
 
Hapo manyoni kuna kiwanda kipya kinaitwa Qstek kinatengeneza mafuta mazuri sana ya alzeti, hayana kabisa kale ka harufu.
 
Wana kiwanda kikubwa kulinganisha na vingine vilivyopo hapo,,, wamewekeza pesa mingi sana
Wewe kumbe unawaelewa, kile kiwanda ni kukubwa kwakweli, ingawa kuna kipindi kilipita wakati mgumu kiuchumi kiasi cha kushindwa kujiendesha vizuri, kwasasa kipo vyema.
 
Habari wakuu, kuna kipindi nilipost Uzi kwa wanaotaka kufanya biashara ya mafuta ya alizeti. Kuna watu wengi walinitafuta kuniulizia lakini kwa bahati mbaya hawakwenda na msimu ulivotaka.

Mrejesho wake, Kama unataka biashara ya mafuta mda na msimu wake n Sasa! Dumu Lita 20 yaani (Yan 18.5 kg) Ni tsh 80000 kwa singida mjini na 70000 kwa singida vijijini.

Unachopaswa kufanya, chukua mafuta nunua dumu lako 2500/3000 nenda viwanda vya ndani huko chukua mafuta ya kutosha tafuta usafiri 1000/dumu 1 Hadi mjini then endelea kuenjoy.

Bei ya kuuzia na faida wenyewe mnajua huko kwenu mafuta yanatoka kwa sh ngapi?

Usafiri kutoka mjini, technique zifuatazo zitumike.
1. Kama una leseni ya biashara kazi imekua rahisi kwako.
2. Fanya kusafirisha mzigo kidogo kidogo yaan dum tatu-tano kwa 3000-5000/dum. Hadi mzigo unaoutaka kukamilika.

Nawatakia kila la kheri.View attachment 2249418
Vp kiongozi yanaweza kukaa kwenye madumu kwa muda gani? Kama nikuifazi
 
Back
Top Bottom