Kwa wanaotaka kuanza biashara yoyoteโŒš๐ŸŽ“๐Ÿ’ธ๐Ÿ’ฑ๐Ÿ’น๐Ÿ’ฒ๐Ÿ’ฐ

Ros tomas

Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
48
Reaction score
36
Usiulize MTU kuhusu biashara gani nifanye, uliza kuhusu nifanyaje biashara. Kila biashara inalipa ila unaitaji umakini kwenye kipengele cha demographic kuhusiana na biashara yako namna ya uendeshaji utengeneze wewe kutokana na mazingira ambayo unataka biashara yako iwe, kutokana na mfuko wako unavyokuruhusu. Usijejaribu kukopa unapoanza biashara unaweza iua kiss wasiwasi wa kushuka na kupanda kwa mauzo ni bora utafute mbia mfano wewe unauza chips mtafute muuza juice mshee cost ya pango ila sio kushea biashara moja mkitofautiana tu mwanzo wa biashara kuyumba.
Mengine watajazia
Kubwa lao litaongezea, mchakataji mwenye uzoefu wake Zero IQ
 
True kabisa
 
Kweli kabisa
 

Exactly bro big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ