kwa wanaotaka kujaribu kilimo

Husninyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2010
Posts
23,851
Reaction score
9,472
habari?

nakodisha shamba kuanzia ekari 5 mpaka 15 kwa wanaotaka kujaribu small scale farming. shamba lipo tanga, umbali wa dakika ishirini kwa gari kutokea barabara kuu.bei tsh 20,000 kwa ekari moja.

kwa anaehitaji tuwasiliane.
 
habari?

nakodisha shamba kuanzia ekari 5 mpaka 15 kwa wanaotaka kujaribu small scale farming. shamba lipo tanga, umbali wa dakika ishirini kwa gari kutokea barabara kuu.bei tsh 20,000 kwa ekari moja.

kwa anaehitaji tuwasiliane.
Ya kuuza je My Sweetheart Husninyo??
 
Last edited by a moderator:
Umbali kutoka Barabara kuu iendayo wapi na shamba lipo maeneo gani ya Mkoa wa Tanga?
Ni mazao gani yanastawi kwenye hilo eneo Mdau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…