mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Karibuni kwa mjadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...!. kutegemea a single source of online dataz, ni kazi kweli kweli!, kunawaingiza sana watu chaka!. Thread ni ya Jaji Mwalusanya, lakini hiyo picha ni ya Jaji Barnabas Samata!.Karibuni kwa mjadalaView attachment 2702683
Tunaomba na sisi ma bush lawyer tushiriki mjadala[emoji1545]Karibuni kwa mjadalaView attachment 2702683
Hawa ni watu wa hadithi za kusimuliwa na hawana contents zozote! Wanaunga unga habari tu!Duh...!. kutegemea a single source of online dataz, ni kazi kweli kweli!, kunawaingiza sana watu chaka!. Thread ni ya Jaji Mwalusanya, lakini hiyo picha ni ya Jaji Barnabas Samata!.
P
Ilibidi nirudi juu kwenye heading labda niliona vibaya😅Duh...!. kutegemea a single source of online dataz, ni kazi kweli kweli!, kunawaingiza sana watu chaka!. Thread ni ya Jaji Mwalusanya, lakini hiyo picha ni ya Jaji Barnabas Samata!.
P
SawaHawa ni watu wa hadithi za kusimuliwa na hawana contents zozote! Wanaunga unga habari tu!
Sawa kumbe nimekopyIlibidi nirudi juu kwenye heading labda niliona vibaya😅
Ndio madhara ya copy&paste bila ya kujiridhisha juu ya usahihi wa habari hiyo.
Hakika[emoji1787][emoji1787] Mwalusanya J( as he then was) kesi ingekuwa ishatabirika mwisho wake. Serikali ilikuwa inapigwa chini mapema sana, na yawezekana wangeweka pingamizi la kutokuwa na imani na Mheshimiwa Jaji
Karibu mwambaaa
Hali ipi? Ya sura zao ama tag Siri ya vifungu vya sheria ? Hebu tuongoze basi!
Mwalusanya alikuwa ni Justice ambaye aliiangusha serikali mara nyingi kwenye maamuzi ya kesi mbali mbali za kikatiba. Aliwahi kukandamiza kuhusu mamlaka ya Raisi na anakumbukwa sana kwa kusema kuwa adhabu ya kifo inakiuka katiba katika kesi ya Mbushuu dominic mjaroje. Hali hii ilimtia matatani katika siku zake za maisha akiwa katika kiti cha kutoa haki.Hali ipi? Ya sura zao ama tag Siri ya vifungu vya sheria ? Hebu tuongoze basi!
Uongooooo!!Duh...!. kutegemea a single source of online dataz, ni kazi kweli kweli!, kunawaingiza sana watu chaka!. Thread ni ya Jaji Mwalusanya, lakini hiyo picha ni ya Jaji Barnabas Samata!.
Picha ya Mwalusanya ni hii View attachment 2702735
P
Alinirekebisha kuna picha niliichukua kwenye mtandao nikidhani ni ya justice mwalusanya ila P amesema ni ya samata. Ko nimeamua kuiweka hiyo ili mada ikae sawaUongooooo!!
Duuh,kweli chaka,na Ndio mwanasheria huyo!Duh...!. kutegemea a single source of online dataz, ni kazi kweli kweli!, kunawaingiza sana watu chaka!. Thread ni ya Jaji Mwalusanya, lakini hiyo picha ni ya Jaji Barnabas Samata!.
Picha ya Mwalusanya ni hii View attachment 2702735
P