Kwa wanaume: Kama ungekuwa mwanamke...

no
ingekuwa kama mama theresa...
Nuns only lol

Hahahaha padri nyingine zikiamua kukutolea uvivu haijalishi hata kama wewe ni Mama Theresa 🙂 zinakumbushia kila kukicha mpaka mwenyewe utasaula hahahahaha lol!
 
Lizzy,bubu na wengineo
mwaka jana hivi sikumbuki vizuri time
itv walikuwa na tamthilia ya kihispania inaitwa lalola

inahusu mwanaume kiwembe aneitwa lalo
alimvunja moyo mwanamke mmoja,akafanyiwa uchawi akawa mwanamke
akajiita lola......ni very interesting
mwisho alipopewa option ya kurudi kuwa mwanaume
alikataa.
Inaonekana aligundua kuwa mwanamke kwake kumempa peace aliyokosa
kwa kuwa mwanaume...

Nasikia hii tamthilia ilikuwa maarufu katika nchi 48 duniani......
 
Reactions: BAK
Tumeshuhudia siku hiz kina dada wakiwa warahisi sana kugawa penzi. Hv we ungekuwa mwanamke ungekubal kugawa penz kirahis? Msiniulize msimamo wangu...

Unazungukwa na hoa unaoita warahisi.......na ndio TYPE zako.Hebu tujuze, dada zako nao ni miongoni mwa hao kina dada eeh?
 
Tumeshuhudia siku hiz kina dada wakiwa warahisi sana kugawa penzi. Hv we ungekuwa mwanamke ungekubal kugawa penz kirahis? Msiniulize msimamo wangu...
idadi y mademu uliyoshachakachua sahv ndio ungekuta ndio idadi y wanaume walioshakuchakachua ......bora mi nakademu kamoja 2.
 
Huna lolote...ungeweza tu kusema kwamba huwezi kwasababu unapendelea kua mwanaume sio unaleta dharau za kijinga.Eti ungekua mwanamke ungeomba uwe mwanamke ...hovyooo!!Wala usingeuweza uanamke ndo maana hukuupewa!!
 
Binafsi siyo tu natamani kuwa Mwanamke natamani kuwa Mama! Nikikumbuka upendo wa Mama! Lakini masikini... haiwezekani asilan wa abadan. Wanawake nawafagilia wa..waaaa!!! Nanyi jifagilieni... !!
 
Yeahh nzuri kishenzi.Really funny kabla hajazoea kua mwanamke na kupepesuka na heals!!!
 

Nilikuwa naingalia pia and was very interesting.
 
Huna lolote...ungeweza tu kusema kwamba huwezi kwasababu unapendelea kua mwanaume sio unaleta dharau za kijinga.Eti ungekua mwanamke ungeomba uwe mwanamke ...hovyooo!!Wala usingeuweza uanamke ndo maana hukuupewa!!
hahaha uanamke kazi Lizzy! mungu kawajaalia utajiri wa huruma na upendo na uvumilivu sasa kwa dume lililozoea uanaume tuuu ni kazi kuvaa hicho kiatu cha kike na kufiti otherwise unaweza ukaharibu vibaya tuu. si unaona tunasema hakuna km MAMA so mko juu Lizzy!
 
Ungeanza hivyo kwanzia mwanzo mbona ningekupenda!!Haya asante kwa kurudisha heshima!‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…