Kwa Wanaume: Mpenzi wako akikukosea unatumia njia gani kumaliza tofauti zenu?

Kwa Wanaume: Mpenzi wako akikukosea unatumia njia gani kumaliza tofauti zenu?

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Wadau wa MMU tuongee Mahusiano Ijumaa ya leo

Kuna baadhi ya Wapenzi wakikosana hupigana kama njia ya kuonesha hasira zao

Lakini leo tuko na Wanaume. Kwa Mwanaume kumpiga mpenzi wake inaonesha nani ni 'kiongozi' ndani

Au wengine huamini Mwanamke bila kumpiga hasikii na habadiliki

Lakini wengine hufanya hivyo kwa kujua kuwa Mwanamke hawezi kujiteteq hivyo hatakuwa na nguvu na guts za kurudisha mashambulizi

Vipigo hivi hasababisha maumivu, Ulemavu wa kudumu na Wakati mwingine Wanawake hufa kwa kupigwa na Wenza wao

Swali ni je, Kwanini Wanaume wanaamini Mwanamke bila kupigwa hasikii?

Na je, katika zama hizi kwanini bado kuna Wanaume wanaopiga Wenza wao?
 
Niliwahi kufanya tukio hili mara moja huku kwa Wangindo-Liwale,nikiwa ndo nimeajiliwa huku nikiwa na miaka mitatu kazini,nilikutana na binti ambaye alikuwa kazalishwa na kuachwa,ukweli binti alikuwa mzuri sana ila sasa alikuwa hajatulia.

Tukiwa kwenye mahusiano nikapata taarifa kuwa kuna mwamba anamkula demu wangu,duh moyo uliuma sana,binti alikuwa anapenda kuja kulala kwangu kila jioni maana alikuwa na kazi zake za ushonaji,usiku akija anajishitukia tu,mara untaka kunipiga,nikishika panga mara aseme unataka kunikata,duh sikumuambia kuwa nimesikia ana mtu mwingine.

Siku ya siku ni kamwambia bwna mbona nasikia una mahusiano na mtu fulani,duh bwana wewe binti kanijibu kwani yeye hana mborrow?,nikili nilimtandika sana kwa kutumia waya wa umeme hata sahau,ila nilijuta sana kwa kitendo hicho,naomba mungu anisaidie nisurudi.

Kwa sasa nimeoa niko kwenye ndoa kwa miak 15 ila sijawahi mpiga mke wangu,huwa tumazinguana ilasijawahi nyanyua mkono wangu kumpiga,na sijawahi fikiria kufanya hvyo akinikosea/kumkosea tunayamaliza kiutu uzima,kumpiga mtu mzima kwa lengo la kumbadilisha tabia ni ujinga,huwezi mbadili mtu mzima wa 40yrs ni ngumu.


Wanaumetubadilike tuache kuwapiga wake zetu
 
Niliwahi kufanya tukio hili mara moja huku kwa Wangindo-Liwale,nikiwa ndo nimeajiliwa huku nikiwa na miaka mitatu kazini,nilikutana na binti ambaye alikuwa kazalishwa na kuachwa,ukweli binti alikuwa mzuri sana ila sasa alikuwa hajatulia.

Tukiwa kwenye mahusiano nikapata taarifa kuwa kuna mwamba anamkula demu wangu,duh moyo uliuma sana,binti alikuwa anapenda kuja kulala kwangu kila jioni maana alikuwa na kazi zake za ushonaji,usiku akija anajishitukia tu,mara untaka kunipiga,nikishika panga mara aseme unataka kunikata,duh sikumuambia kuwa nimesikia ana mtu mwingine.

Siku ya siku ni kamwambia bwna mbona nasikia una mahusiano na mtu fulani,duh bwana wewe binti kanijibu kwani yeye hana mborrow?,nikili nilimtandika sana kwa kutumia waya wa umeme hata sahau,ila nilijuta sana kwa kitendo hicho,naomba mungu anisaidie nisurudi.

Kwa sasa nimeoa niko kwenye ndoa kwa miak 15 ila sijawahi mpiga mke wangu,huwa tumazinguana ilasijawahi nyanyua mkono wangu kumpiga,na sijawahi fikiria kufanya hvyo akinikosea/kumkosea tunayamaliza kiutu uzima,kumpiga mtu mzima kwa lengo la kumbadilisha tabia ni ujinga,huwezi mbadili mtu mzima wa 40yrs ni ngumu.


Wanaumetubadilike tuache kuwapiga wake zetu
Ila wewe sijui kwanini alikujibu ivyo bila uoga au kwasababu ulikua ujamuoa mmh. Uyo mwanamke bilashaka mpaka sasa hajaolewa anaonekana malya wa kwenda.
 
Siku ya siku ni kamwambia bwna mbona nasikia una mahusiano na mtu fulani,duh bwana wewe binti kanijibu kwani yeye hana mborrow?,nikili nilimtandika sana kwa kutumia waya wa umeme hata sahau,ila nilijuta sana kwa kitendo hicho,naomba mungu anisaidie nisurudi.
Jibu alokupa la dharau sana
 
Back
Top Bottom