nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
How i wish if there was one to tell her
Najua nyumba kubwa utakuwa mtu wa oldies enjoy this oneThere is someone for everyone; am sure you will find her. I am praying for you.
How i wish if there was one to tell her
Na mimi nataka niwepo ukiwa unamwambia kuhakikisha muhimuThank you a lot kwa hilo. I will tell her
Na zaidi kumwambia how special she is to me
even me wish them da same!wishing all the best my brother....praying for you.
Na mimi nataka niwepo ukiwa unamwambia kuhakikisha muhimu
Kaka wala sitasema kuhusiana na ile nyumba ndogo uliyoinunulia nyumbaNaogopa unaweza ukadistort the meaning ya nitakachosema na ukaja chakachua bure
How i wish if there was one to tell her
Hahaha!! Gaijin usitake kunivunja mbavu kama ulivyofanya kwenye ile thread hivi Boss atakuwa anapumua vizuri kweli sasa maana yale mashairi nilikuwa naona mapigo ya moyo yanamuenda mbio huyo lol!!!The Finest
ndo yale yale ...dedication za Ki-magharibi ...............lol
Kwa yule wangu anayenigusa mtima napenda kumtumia wimbo huu wa Mzee Yusuf uitwao "My Valentine".
Thanks, Definitely will do thatPlease call your mom and tell her she is special..pls pls
Hahaha!! Gaijin usitake kunivunja mbavu kama ulivyofanya kwenye ile thread hivi Boss atakuwa anapumua vizuri kweli sasa maana yale mashairi nilikuwa naona mapigo ya moyo yanamuenda mbio huyo lol!!!