Aisee, mimi nimefanya hii kabla ya kusoma hata hii post. Kuna binti..ni mdogo kwangu kiumri leo kaja kapiga kiofisi kweli kweli..kapendeza cha-maukwelii, nimemwambia kaepndeza akabaki kujichekesha na smile ambalo nimeliapproximate kuwa abt 2minutes long.
sasa amejipitisha hapa kwangu mara mbili tayari anasmile tu!
Aaaaa bwana wana hitaji morrow support ..... hahaha lolHahahah haya tuwaache wakaka waendelee na zoezi lao!!!
Ni wewe Mshiki?Mi nimemwambia mmoja, kafurahi kasema asante kaka angu.
hahah..u really shocked me daughter! damn....Iiii jamani Mentor,sasa umekuja kunisema huku?siungenambia tu kama nimezidisha smile ..LOl!
Utanifanya leo nifanye kazi half day,i feel embarassed
Mheshimiwa kumbe una Mke,,, lolvia MobileUnatufundisha tabia mbaya,, tuna wake zetu nyumbani plzzzz
whaoooooo, Umependeza kweli FirstLady na hiyo brazia yako lol.....
Siji, ushanitibulia kweli siku yangu na vile ilianza kuwa nzurihahah..u really shocked me daughter! damn....
Kwa hiyo leo huji kuchukua oda la lunch?
Mheshimiwa kumbe una Mke,,, lolvia Mobile
haha...nimejua si wewe! maana kaja..Siji, ushanitibulia kweli siku yangu na vile ilianza kuwa nzuri
cant 4give you for that mentor