Kwa wanaume; naomba ufanye jaribio hili asubuhi hii...


Iiii jamani Mentor,sasa umekuja kunisema huku?siungenambia tu kama nimezidisha smile ..LOl!
Utanifanya leo nifanye kazi half day,i feel embarassed
 
Iiii jamani Mentor,sasa umekuja kunisema huku?siungenambia tu kama nimezidisha smile ..LOl!
Utanifanya leo nifanye kazi half day,i feel embarassed
hahah..u really shocked me daughter! damn....
Kwa hiyo leo huji kuchukua oda la lunch?
 
Tuko!!!
ile namwambia tu kuwa umependeza kumbe sijui alikuwa na mihasira hasira yake ya home kaniuliza ...kwa hiyo?!
nimwambieje sasa baada ya hapo?!!!!!
 
hahah..u really shocked me daughter! damn....
Kwa hiyo leo huji kuchukua oda la lunch?
Siji, ushanitibulia kweli siku yangu na vile ilianza kuwa nzuri
cant 4give you for that mentor
 
Lol mkuu hii kali. Leo nimegundua kuwa wafanyakazi wengi hapa kibaruani ni member wa jf. Maana kila ninayemwamkia hivyo anatabasamu na kunambia, 'ndo unatekeleza?'
Naona zoezi kwangu limekuwa biased, ngoja baadaye nitajaribu bar!
 
...umeniponza bana, kwanza nimepigwa kofi kisha kaniambia nikiendelea atanichongea kwa masijala!
 
Tuko!!!
ile namwambia tu kuwa umependeza kumbe sijui alikuwa na mihasira hasira yake ya home kaniuliza ...kwa hiyo?!
nimwambieje sasa baada ya hapo?!!!!!

Aiisee!
 
...umeniponza bana, kwanza nimepigwa kofi kisha kaniambia nikiendelea atanichongea kwa masijala!

Kofi la mpenzi haliumu bana (hata kama sio mpenzi wako)...
 
Nahisi huu uzi umenifungua macho kua work mate ni JF member..
Jamaa hajawahi nisifia but leo kasalimu na sifa za kupendeza.... mmmh!
 
duuu nilikua sijui kama wenzangu hapa nao wanapitia JF sasa nishaambiwa umependeza na watu watano. that means wamefanya ulichowatuma, ngoja wakujibu wamejibiwa nini hhahahhahahhahhahahhahahahha
 
Khe! hivi kumbe ka PS kangu nako ka JF Member? Nimekabamba nikajua kanapiga JF wakati kazi niliyokapa hakajakamilisha....

Me nakaambia umependeza leo, kananiambia Bothi leo umepitia JF asubuhi asubuhi nini?

Walah hii ni sawa na ile....Dont try this at Home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…