Mambo ya ufahamu tu niko ukurasa wa 14,301 mwandishi anasisitiza kuwa wanawake huwa wako sahihi wakati wote!
Mambo ya ufahamu tu niko ukurasa wa 14,301 mwandishi anasisitiza kuwa wanawake huwa wako sahihi wakati wote!
Hahahaha umeisha nichakachua! Haya bwana umesindikana ila usikisome wewe....
Rev nipatie tu... napenda kusoma wewe mwenyewe utafurahi... ukiniuliza maswali yoote nitajibu....
mkimaliza hicho ninakingine zaidi ya hicho chenye muendelezo,
Ulitakiwa uombe hurusa ktk PM ya Mchungaji, Babu Asprin au CPU kwanza
Sio unajichukulia hatua mkononi
I finally got the book that will help you understand women better. Let me know if you need a copy!
Hahaha lol nimeishia kuchek unafika page hizo halafu still unakuwa bado haujawaelewa hata ile nusu yake badoseriously mkuu....:gossip:
you can also check appendix 22,998,001-IV :doh: wanazidi kuweka mkazo hili angalizo ukizidi kubisha tu utashushiwa :brick:
Kamanada...wakati niko page ya 25,989....mara wife ananipigia anataka nimwambie kwanini jana nilichelewa kurudi home....Hebu mwambie Masa kama ana kitabu kingine. Hiki hakitoshi. Hawa watu unatakiwa uwe unawasoma daily.
Kamanda unajipa fagizi kwa chati teh teh teh teh
Hahahahaha hata kwenye INTRODUCTION hajafikaHii page bado upo kwenye TABLE OF CONTENTS
Soma kitabu kwanza, majibu yote yamo humo
Acha kujidanganya... kama umekosa umekosa tu.... na kama ni muuza vitumbua atafurahi tu kua amepata pa kufungia milele....
Kamanda unajipa fagizi kwa chati teh teh teh teh
Hahahahaha hata kwenye INTRODUCTION hajafika
Sasa mbona hata mi ni muuza vitumbua???
Au unazani kwa vitumbua sipati hela ya kuingia internet cafe kuchek JF???
Heh he he he he
Hili litabu ndo mambo yote, nitawashika kama kumbi kumbi
Huyu binti alijifanya mjanja sana
Eti sijui mbinu ya kumtongoza, alikuwa ana nata balaa
Nilimzimikia kitambo, hataki kunipa
Sasa kwa hili LITABU akiniona nalo tu, hata simuiti ataanza kunikimbilia
Na safari hii ataniomba mwenyewe aje kwangu tufurahi pamoja
hicho kitabu hadi kiishe inahitaj maombiI finally got the book that will help you understand women better. Let me know if you need a copy!
no way.. this is a comprehensive package for all women, including Lady Gaga's type... i personally think Rev has done a good job sharing this electronicallyBy the time unamaliza kulisoma huyo mwanamke anakuwa keshabadili kile ulichosomea, sijui utaanza upya au vp, lol nimezamia bottle party