kuna tatizo la kulitatua hapo? lingekuwa tatizo watu msingebobea huko. mpaka kuanzisha na chama! inaonekana inawalipa sana
kama hakuna basi karibu chamani....katibu mpe kadi yake na Asprin pokea mchango wa kiiingilio:becky::welcome::welcome:
kuna law ya use and disuse... shingo ya twiga na mkia wa sungura
ni mawazo tu
Hiyo law of use and disuse haina ukweli wowote, haiko scientifically proved.
Tembelea website kisha soma kwa makini ili uelewe.
Ninyi mabinti mnafuata nini huku jandoni?
mkipata mimba zisizo na baba msilaumu bure hapa. Hasa we Nyamayao unajifanya unaifahamu sana bakora kuliko mwenye bakora.
LOL ninyi wambeya kweli kweli.
ASPIRIN tuwasute hawa
kama hakuna basi karibu chamani....katibu mpe kadi yake na Asprin pokea mchango wa kiiingilio:becky::welcome::welcome:
Miaka 10? huko anakoishi hakuna wanawake? hata wa kununua kwa masaa machache? au anaondoka na nyeto sana?
Msaniii...umenivunja mbavu, ngoja niandae na mie msuto wangu....mie naujua bwana kwani c ninautumiaga kila cku?
:confused2::confused2: