Kwa wanaume tu: kama ni wewe unakutana na kisirani hiki utafanyaje?

pagumu hapa......
hata kama mke anakujua vyema, kukuta condom tena mbichi kuna kazi ya ziada mpaka akuamini walahiiiiiii
 
Nafikiri hapo inabidi amweleze mkewe ukweli ulivyo, na pia kumuita huyo rafiki yake kuja kujibu kesi na kuziba nyufa za ndoa zilizotokea. Pengine pia ni angalizo kwa watu kuwa makini na marafiki wa dizaini hii, unamuona msichana siku ya kwanza tu na tayari kufanya mambo .... hatari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…