Kwa wanaume tu: Ukitoa hakikisha unadai risiti yako

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,186
Reaction score
7,492
mara nyingi wanaume wenzangu wemekua wakileta thread wakilalamika humu mara oooh! napigwa sana mizinga! mara tumejuana jana tu leo anataka nimtumie laki mbili, mara ooh! jana tu nimempa 50, leo tena anataka 100k, mara nimempa 20, anasema hazitoshi nimpe laki mbili na ndio tumejuana leo leo N.k.

Any way mimi sina shida na wapiga mizinga wala watoaji. Ninachowaasa wanaume wanaotoa kwa hiari au kupigwa vizinga ni kwamba waache kulialia bila vielelezo, watakuja gutuka ilishakula kwao! haya!

Ni hivi: "kila ukitoa kiasi chochote cha hela kwa malengo yoyote yale Omba risiti yako! " (na hakikisha risiti yako inaeleza kuwa umetoa kwa ajili ya nini na kiasi gani) hii itakusaidia kwanza kujua kiasi cha hela unachotumia kwenye ishu husika lakini pia kubaki na kumbukumbu kwa ajili ya matumizi mengine na hata mtu akija kulialia humu atakuwa na ushahidi badala ya maneno matupu.Hili pia nadhani litapunguza malalamiko maana ni ajabu kutoa pesa bila kujua hasa unatoa pesa kwa ajili ya nini? halafu baadae unalalamika sijui unalalamika nini!
 

Mi huwa nasema hapana, sina.

Na kama nikitoa basi natoa kwa hisani halafu naendelea na mengine.
 
Kama unayao wewe toa tu... kama huna kausha..
 
Mi sikuelewa vizuri nikatafsiri,"ukichomoa tu,dai risiti"
 
Haaaaa lol nae anajibu
"sina baba.... wewe ndio kama baba angu kwa sasa"
hapo utatoa ukijua unatoa kama mzazi, na kwa upande mwingine utatakiwa uchukue na majukumu ya ulezi ukiwa kama mzazi ikiwa ni pamoja na kusimamia nidhamu ya muhusika.
 
The first impression utayompa mwanamke ndio itamfanya ajue nini cha kukwambia kila mnapokutana...ukimjia kipredesheee tegemea mizinga sana tu,ukimjia kigentleman nae atajitahidi awe mstaarabu n a lady....so muwe careful na namna mmavyochagua wenza wenu.
 
Hivi mnaposema mwanaume jentomeni mnakusudia anayechomekea shati au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…