Kwa wanaume tu: unaonaje kuku wa kienyeji na wa kisasa yupi mwenye radha nzuri zaidi?

unafkiri wa kisasa tunawapenda? Sema wa kienyeji ni ghali na wagumu kuwapata in the sense that unaweza piga sound hata mwezi usimmpate au ukaambulia urafiki wa kalamu. Ila hawa wa kisasa any time anywhere hawana compkication ukitaka unapata kirahiiisi!
 

organic
 
harufu ya kemikali umemaanisha pafyumu?

Namaanisha kichwani kuna wigi, mikononi makucha ya bandia, makalio mchina, ngozi imepakwa ma cream yanayotoa harufu ya ajabu. Sasa usoni ndo balaa machoni wanja unaangalia juu kama shetani, lips zina rangi kama mavi ya kuku, ngozi ya uso hayo marangi wee acha tu.
 

Mmmhhhh, mzee kweli hapo hamu ya kumla kuku itatoka wapi? Labda uwe unakula lakini mawazo yawe kwenye kuku wa kienyeji. Hapo inawezekana ukamaliza hata katripu kamoja. Bila hivyo, kama ni mimi 'mzee' atagoma hata kutoa macho!
 
am free and available, check avatar yangu hapo, naqualify wa kidhungu au wakienyeji???
 

kwa mimi napendelea wakisasa napata nguvu sana wakienyeji wengi hawajui kujishafisha vzr
 

hapo umenigusa sana mbona me ndo napendelea hivyo
 
kuku kuku tuu, wa kidhungu/wa kienyeji jina!
 

mama weeee! Mchumba nishakosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…