kwa wanaume tu

mwanaume kama hakupendi yaani hata ufanye vipi hatakupenda na atakupa shida sana ila kwa mwanamke mmejaaliwa kujifunza kupenda ndo so vumilia hata kama humpendi jifunze kumpenda na utaona matokeo yake utampenda tu mwenyewe kama unataka mateso kuwa na mwanaume ambaye hakupendi utajuta kuzaliwa.Wanaume tunanyanyasa sana kwa wanawake tusiowapenda na kwa tunaowapenda wanatupelekesha kama mang'ombe
 

Dah, kwa hiyo ukiona mwanaume anakunyanyasa sana ujue hakupendi sio??
 
unajua wasichana uwa wanakosea sehemu chache tu ktk mahusiano na huwa hizo sehemu nimuhimu sana,
-mwanaume hapendi kutokaminiwa,kila akichelewa kuludi unaanza oo uyo uliyekua nae nimuhimu kuliko mm?
-kila saa umepiga simu ,swali la kwanza uko wapi na uko na nani?(mwambie hata nimekumc utaludi sangapi?)
-etc,

kwakifupi mwanaume ukigundua unampeleka kama unampangia hilo tayari nitatizo kubwa kwake?
 
mwanaume huwa hapendi kuishi kwa kupangiwa,
-ulie kuwanae inaonekana ni muhimu kuliko mm?
-ukowapi na uko na nani?
-akiwa anaondoka within two hours uwe ushaludi,etc

lazima umpoteze ndani ya mdamfupi
 
hata mm sipend kufatwa fatwa na kuniganda kama luba matokea yake uhuru binafsi nakosa,simu ziczokuwa na tija kero tupu
 
Dah mi huwa naulizwa uko wapi kwene daladala back home umekaa na nai mvulana au msichan?? mbona nasikia kama mtu anacheka jamani huu wivu ama???? ohhhh kumbe ni kwa wanaume tu sorry
suala sio kupigiwa simu mara kwa mara,inategemea ni simu zenye sababu zipi _ maake kuna simu za kuulizwa uko wapi mara unafanya nini mara uko na nani na nyingine kama hizo ndio zinazoboa,.....
 

....Tuko umegonga utosini....yaani ningekuwa nakufanyia interview za wasemaji kwenye makitchen parties....ungeshapita bila kupingwa mkuu.......! una uelewa mkubwa sana kwenye hili somo!

Michelle......well said too!

....Yeeap!
 
mi msichana wangu kila siku tunagombana kwa sababu ya simu nikifika kabla sijafanya chochote amesha shika simu yangu anakimbilia knye msg, na calls, akikuta msg hajaelewa siku hiyo no unyumba ni kulalamika muda wote. hiyo tabia inanikera sana
pili kupiga simu ambazo hazina kichwa wala miguu
tatu kulazimisha nimjibu i love you too (wakati mwingine niko ofisni na boss anapiga simu za kimahaba mi naongea kawaida ananimbia uko na nani unaongea hivyo , inakera sana
 
Wanawake tabia zao ni universal kama sound drivers za computer, hata makosa yao katika relationship huwa mara nying yanafanana kama identical twins, kwa hilo dada mim ninahisi caring sio kunifatafata kila dakika, kama unaniamini kwanini una do follow up?
 
Wanaume wengine wapo kama watoto,mtoto ukimpenda mno kuna hatari utamharibu.AU kingine labda huo upendo wako mkali unaambatana na wivu wa kiwango hicho na hakuna kitu huwa inaboa kama wivu uliopitiliza.Kimsingi hakuna mwanaume asiyependa ma care,ukosefu wa ma care ndio unaletaga nyumba ndogo.Usife moyo inawezekana pia hujampata wakukufaa Mungu atakupa tu hold-on.
 
hiyo list ya wanaume???kichecheeeeeee

Usimnyooshee mwenzio kidole mpenzi martina unakumbuka thread yako ya mmasai na wengine wale? unajua unapocomment kumbuka na wewe uliyowahi kuyasema. sawa mamii!
 
Mahusiano bwana huwa hayana formula utakuta mwanamke anafanya yote yaliyotajwa hapo juu na wadau kwamba ndio mazuri care na kutomuingilia mwanaume kwenye privacy yake na mengineyo lakini mwanaume ndio kwanza atamuacha huyo na kumfata yule ambae hata hana habari na care atasoma msg zake na atamuuliza simu alizopiga.
mimi naona mahusiano huwa yanakuwa tofauti na tunavyofikiria wenyewe kwamba tunataka hivi na vile. Halafu mwanaume anaweza akawa na mwanamke mwenye kazi na anamcare ila atamwacha badae na kwenda kuoa mwanamke tofauti kabisa na yule aliyekuwa nae.nahisi wanaume wanapenda kuprovide kwa wanawake zao hii inawafanya wajisikie wana power over wanawake wao.
 
samahani
"Kwa wanume tu"
Halafu thread yenyewe imeongelewa
pande zote mbili....

baadaye..
 
hakuna kanuni ya mapenzi duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…