kwa wanaume tu

mhh...mbea ni mimi au wewe uliyeanza kumshambulia mwenzako kwa madai ya kutangaza biashara! Na kabla ya yote topic ni kwa wanaume! Kazi kweli kweli...
Topic ya wanaume kwa aliyekwambia mimi mwanamke??Au unanijua??!Narudia tena acha umbea!!
 
Topic ya wanaume kwa aliyekwambia mimi mwanamke??Au unanijua??!Narudia tena acha umbea!!

mhh...nadhani una shida ya akili....haya mwanaume lizzy mwenye picha ya mwanamke...
 
Sehemu yeyote ya mwili wa mwanadamu ikivimba ni ugonjwa. So nenda clinic haraka
 
Mimi mademu wenze vitumbua/sambura kubwa hata siwazimii, hapa namaanisha atakua anakudanganya! Anyway HONGERA kwa kumiliki Kitumbua kikubwa!
 
I'ven't seen comments from great 'SALT' divers! They must have splendid suggesions and whatever it takes!
 



Hongera sana kwa uvumilivu na ustahimilivu wako.
Na pole sana kutokana wengine kukujibu kwa kejeli na dharau.
Yaani utapangiwa mpaka namna ya kuongea!!!
Nadhani utakuwa umejifunza kitu kwamba si VYOTE VING'AAVYO NI ALMASI.



Safi sana Babu
Busara zako na zidumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…