Kwa wanaume tuu.... Ushauri wenu tafadhali

B mkuu huyo A anakuja kukutesa na kuaza kuwaza vicheche vya nje
 
watu wanahangaika kutafuta wake wa kulea familia afu yeye anaremba mwandiko hapa.!!

Au anaringia kwamba nina wife material namchanganya na mitoko material

bora atafute C wenye akili waoe A

Kweli kabisa Dada Mkuu,

Mie wangu ni A,

Haya mazaga zaga ya B, C na D naweza kuyapata kwa malipo ya papo kwa papo au mkopo!!

Babu DC!!



Asanteni..... Huyu jamaa naona aleta mzaha hapa....
 
wanaume bwana na mimi nitakuwa napimwa mahali sijui nitakuwa z?
 
Kuna wanaomshauri hivi: "Maisha ni sasa. What if unakufa kesho?? Hold what makes you happy. Ukimchagua A, hutakua umechagua Mapenzi, utakua umemchagua kama kitegauchumi zaidi, na mwisho wake hutakua mwaminifu kwenye ndoa kwasababu bado utamuhitaji B." Basi jamaa anachanganyikiwa kabisa.

Huu ujumbe naufikisha kama ulivyo. Ngoja ni print kabisa. ctaki kuchakachua.

 
ingekuwa tunachagua kwa staili ya A na B tungeingia chaka wengi
 

furaha ktk maisha. Nawahi bar!
 
Ungeniambia na wewe mwenyewe ukoje ningekupa jibu sahihi
 
Hapo kuna mbegu ya mahindi na kuna njugu.
kama unataka kupanda na kuvuna basi chukua mbegu. (A)
kama unataka utamu basi chukua njugu, ongeza chumvi, kunywa na bia. ikibidi alika na rafiki mchangie (B)
 
Hapo kuna mbegu ya mahindi na kuna njugu.
kama unataka kupanda na kuvuna basi chukua mbegu. (A)
kama unataka utamu basi chukua njugu, ongeza chumvi, kunywa na bia. ikibidi alika na rafiki mchangie (B)

Duh! hili nalo neno.
 
Angalia wewe Maisha yako Yapoje?Kama ni Safi Chukua B ila kama Mvuja Jasho mchukue A.
 
Umeanza lini utata huu????

Hapo kuna mbegu ya mahindi na kuna njugu.
kama unataka kupanda na kuvuna basi chukua mbegu. (A)
kama unataka utamu basi chukua njugu, ongeza chumvi, kunywa na bia. ikibidi alika na rafiki mchangie (B)
 
Bro, Chaguo langu ni A, anasifa nzuri za kuwa mke bora. Hata wewe nakushauri achana na huyo B, wenye sifa hizo huwa hawadumu kwenye mahusiano, Hobi ya B, ni hako kamchezo tu. Lakini pia wapo wanaume wenye hobi hiyo aliyonayo B (wote huwa hawadumu kwenye ndoa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…