Fanya makosa mengine lakini usifanye kosa kwenye kuoa/kuolewa,itakuvurugia future nzima,ingawa watu huwa wanasema wako wengi me naona kama ni upotoshaji tu.
Namshauri mchague A sababu mambo yamapenzi unaweza mkafundishana na kumjenga kisaikolojia akawa kwenye njia yenyewe kuliko huyo kicheche B
Kuna mabinti wawili, A na B.
A ana sifa zifuatazo.
1. Ni mchapakazi, anapenda sana maendeleo
2. Anajali kiasi, na ni mwaminifu sana katika mahusiano.
3. Ni mzuri kiasi. ( putting everyting together)
4. Kwenye mapenzi hayupo sana. (mnaweza mkakaa hata miezi 6 bila kuduu na haulizi, ila ukitaka anakupa na sio mtundu kabsa)
5. Unaaweza usimfurahie sana mkitoka wote out.
in short, kwenye maendeleo ni 90%, kwenye mapenzi ni 10%.
B. ana sifa zifuatazo.
1. Hayuko serious sana na Maisha. (sio mtafutaji kiviile)
2. Hajali sana, na katika mahusiano ni kaugonjwa kamoyo kama unamfuatilia.
3. Ni mzuri kuzidi A.
4. Kwenye mapenzi yuko juu sana. Anajua nini mwanaume anataka katika tasnia ya mapenzi.
5. Anavutia sana kutoka nae out coz ni mcheshi, na mtundu sana.
Inshort, kwenye maendeleo ni 30%, kwenye mapenzi ni 70%.
Mtu yuko njiapanda. Maendeleo katika familia au furaha katika maisha??
ushauri tafadhali.
lol! huyo A coz hayo ya mapenzi na ucheshi atamtengeneza tu na ataweza labda na yy awe hajui hayo mambo ya mapenzi.
Mi mtazamo wangu ni kuoa B. Hakuna kitu kinachoboa kwenye maisha kama kuwa stuck na mtu ambaye hayuko interesting. Kama hapo tu hajaolewa wala hana mtoto halafu amezubaa namna hiyo, itakuwaje mkishaishi pamoja 10 years? Swala la kuwa eti anapenda maendeleo nalo ni tatizo lingine. Ina maana atakuwa too busy na mambo yake kiasi kwamba wewe mwanaume utakuwa humuoni kabisaa.. Na kuna baadhi ya majukumu hataweza kuyatimiza kwasababu ya ubusy. Pia wanawake wa hivyo huwa hawana muda wa kujitake care mf. kujiweka sop sop, usafi wa nyumba nk ni sifuri.. Cha maana ni kuoa B ili akupe changamoto za ku fight maendeleo uyalete wewe na uishi kwa furaha!
Note: Maendeleo katika familia huleta furaha katika maisha. Fikiria una furaha katika maisha, ghafla unaumwa au mwanafamilia akaugua na kwa kuwa wewe siku zote ni kujirusha tu, hata akiba huweki ina maana utashindwa kwenda au kumpeleka hospitali matokeo yake furaha katika maisha itatoweka. Lakini kama una maendeleo, hata kama mfukoni hakuna senti ni rahisi kukopesheka si una rasilimali bana. ...Tafakari........ Chukua hatua...
ume generalize sana mkuu uliposema 'wote'.Bro, Chaguo langu ni A, anasifa nzuri za kuwa mke bora. Hata wewe nakushauri achana na huyo B, wenye sifa hizo huwa hawadumu kwenye mahusiano, Hobi ya B, ni hako kamchezo tu. Lakini pia wapo wanaume wenye hobi hiyo aliyonayo B (wote huwa hawadumu kwenye ndoa)
simple,muoe A halafu B mgeuze nyumba ndogo
Fanya makosa mengine lakini usifanye kosa kwenye kuoa/kuolewa,itakuvurugia future nzima,ingawa watu huwa wanasema wako wengi me naona kama ni upotoshaji tu.
Hapo kuna mbegu ya mahindi na kuna njugu.
kama unataka kupanda na kuvuna basi chukua mbegu. (A)
kama unataka utamu basi chukua njugu, ongeza chumvi, kunywa na bia. ikibidi alika na rafiki mchangie (B)
We babu acha uongo, tulikutana wapi? lolI am getting curious na huyu mtu anaitwa Mwali......Anafanana fanana na mtu ambaye tulikutana mahali!!
Babu DC!!
We babu acha uongo, tulikutana wapi? lol