Alopitia wanawake 10... ana miaka ngapi vile?? (sorry nitafuta post baada ya kujibiwa)
Jamani hii ni kwa wanaume tuuuuuuuuuuuuuuu!!!mimi singekuwepo kwenye huo mkumbo....
ye kaona wanaume ndo hali zenu mbaya kwa kupenda wasichana na ndo maana kauliza wanaume!jibu sasamhhh na hiyo sheria ikitumiwa kwa wanawake ndo utashangaaa lol.....
habaki mtu,above 30....lol
Average man, btn 27-40 yrs of age!