hahahahahaNiliungwa moja hatari sana.. Wanayofundishana huko hata shetani hatii mguu
uje ufanye mpango kuniadd bila wengine kujuaKuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
Group lilikufa bebe[emoji28]uje ufanye mpango kuniadd bila wengine kujua
hahahha valentina ni mimi hahahaKuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msieeeewNakijua
Ukome sasa na yasiyokuhusu lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku topic ilihusu [emoji1533]nilishindwa kuvumilia[emoji1787][emoji1787]
[emoji23]si bora ungekua wewe kuliko yule mshenzi uhuni aliotufanyiahahahha valentina ni mimi hahaha
Nopehauna jingine ?
Ikawaje?[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku topic ilihusu [emoji1533]nilishindwa kuvumilia[emoji1787][emoji1787]
Hakuna ya wanaume mkuu, sio rahisi wanaume kuchart wanaume kwa wanaume lamzma kue na manzi apo kwa group ndo litachangamka la sivyo labda liwe la porn.Ya wanaume si hua mnatusengenya zaidi nyie[emoji28]
Groups za wanaume ni porn, mpira au siasa . Kama ni group la biashara basi gender zote utazikuta humo.Hakuna ya wanaume mkuu, sio rahisi wanaume kuchart wanaume kwa wanaume lamzma kue na manzi apo kwa group ndo litachangamka la sivyo labda liwe la porn.
Niliungwa bwana kwenye group lao huko Facebook wanafundishana malimbwata wenyeweKuna makosa hutokea katika maisha na makosa mengine wahusika huwa hawajui kuwa wamefanya
Mojawapo ya makosa hayo ni jinsia tofauti kuungwa kwenye group la jinsia tofauti wakidhani wako peke yao
Kwa wanaume wenzangu je hili lilishawahi kukutokea?
Kwa wanawake je kwenye ma group yenu mlishawahi kukutana na hili?