...Nimeipenda hio ktk RedHapo kwenye nyekundu, hata tukikuelezea vipi hutaelewa kwa kuwa wewe si mwanaume. Ila kama ungekuwa mwanaume usingeuliza swali hilo. Mfano, kwangu tendo la ndoa au ngono lina nafasi kubwa kuliko hayo malavidavi. Hata kama wewe ni mke wangu wa ndoa, haijalishi ni upendo gani unaweka kwangu, ila bao kwanza mpaka niridhike, then mengine yaendelee.
- MEN LOVE THROUGH SEX, WOMEN SEX THROUGH LOVE.
- MEN JUST LOOKS FOR A PLACE TO SEX, WOMEN NEED A REASON TO SEX MAN
<br />mwanaume yeyote huanza na kutamani, utasikia I LOVE U, kila anayemtamani atamwambia I love you. Na ujue wanaume hawaoi out of love ndo maana ailimia kubwa huvutiwa na maumbo ya nje ya mwanamke. Ni tofauti na sisi wa jinsia ya -ke. Inabidi tuwaelewe hawa viumbe kwani ukiwa na matarajio ya kuutambua upendo wa mwanaume utaishia kulazwa hoapital kwa ajili ya headache.
Mwanaume ni kiumbe wa ajabu kidogo...inabidi uelewe hilo.. ameubwa na ka ubinafsi...wakati anakuja kwako anataka umsujudie; anataka wewe upate shida kwa ajili yake; anataka wewe umone yeye ni yeye na hakuna mwingine, anataka wewe daima uwe chini yake hata kama ni malkia..
Lakini yeye hataki hata kimoja cha hapo juu kiwe kwake kwa ajili yako wewe mwanamke..
kupenda hakupo dunia ya leo. Wanawake wapo ki maslah zaidi, na wanaume wapo kingono zaidi.
Kwa iyo wanawake tufanyefe?
natamani nikujue nikupige konzi,ingawa ahsante kwa kuwa mkweliWakati mwanaume anakuja kwako ana mawili kichwani
Kuwa mpenzi wake na may be future wife wake. Ila kuna mambo ambayo yanatokea hapo kati unajikuta unaishia kutopenda ukajikuta unamtamani na unatamani kungonoka nae tuu na usiwe na malengo yoyote na mhusika.
Kuna wengine real inakuwa ni kuwa tunawatamani tuu na tunawatamani kungonoka nao na kuwaacha ila sitakuonyesha kuwa nakutamani ila nitakuwa na real love kwako ili nipate what i need
Yaani hujakaa kuwa mke ndo maana naishia kukutamani tuu
Na wengi wengu katika umri wa kabla ya ndoa asilimia kubwa ya wale tunaowaambia tunawapenda pale hakuna real love ila kutamani
Ikifikia ule umri sasa wa kuw ana mwenza hapo nitamtafuta mmoja ambaye nitampenda kweli na sio kumtamani
Kama ni mwanamke wa kutamani nikishalala nae sana inafikia kipindi unamchoka na unaamua kubadilisha au umemuona mwingine bomba kuliko wa kwanza hapo lazima ufanye juhudi za kumuacha yule wa kwanza hata kwa visa ili kupata mpya
Duh ni mawazo yangu tuu hayo usinipige mawe Ma Jerry
Kwa iyo wanawake tufanyefe?
natamani nikujue nikupige konzi,ingawa ahsante kwa kuwa mkweli
hv wanaume mnajua kupenda?au mnajua tu kutamani? kwanini kungonoka kunakuwa kitu cha zaidi sana kwenye mapenzi
na kwa nini mnapenda kuachana saana baada ya kungonoka na sio kabla?
Hapo kwenye bold Kama una maanisha frequency au extent/intensity ya 'kungonoka',sioni kama ni tatizo maana ndyo kilio cha wadada wengi wa siku hizi -kwamba hawatosheki.Lakini kama unamaanisha priority,hilo ni suala la ww kuweza kutenganisha hao mapacha walioungana i.e tamaa na mapenzi au mwingine anaweza akasema moja ni stage ya mwingine i.e tamaa ya mwanaume inaweza ikageuzwa kuwa mapenzi in long run!-Jaribu
<br />hv wanaume mnajua kupenda?au mnajua tu kutamani? kwanini kungonoka kunakuwa kitu cha zaidi sana kwenye mapenzi<br />
na kwa nini mnapenda kuachana saana baada ya kungonoka na sio kabla?
<br />Kwa iyo wanawake tufanyefe?
<br />
<br />
Huwa nyege zinatusumbua sana.
usijali bora ukweli japo unauma,kuliko utapeli.ila nimejifunza,nikitongozwa,akili kichwani mwangu.nitakuwa nakumbuka maneno yakoMradi tuu usije ukaipiga keyboard yako kwa niaba yangu
nimesema ukweli sasa ulitaka niume ume maneno
usijali bora ukweli japo unauma,kuliko utapeli.ila nimejifunza,nikitongozwa,akili kichwani mwangu.nitakuwa nakumbuka maneno yako
<br />kama uloyasema ni kweli..... nakushauri utumie limbwata...