[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]we me Wa dar japo si mwanaume..
.jembe la nini wakati mnatuketea kila kitu huku, tena mnachagua vile vilivyonona, kwanza huku kila sehemu lami baab
Tuacheni masihara, hakuna sehemu watu wanapiga kazi Kama Dar, nasema hv coz Nina experience ya mikoa yote ya Tz, nilikuwa Tbr kwa muda mrefu pale tukifanya biashara ya hardwares, tulikuwa tunatumia usafiri wa train kubebea bidhaa mbalimbali mf. Bati, nondo, cement n.k. Katika upakiaji tulikuwa tunatumia siku 1, Tu kupakia, hapo kwenye kupakia huwa Ni pagumu Sana, hasa ukizingatia Ni lazima upange vitu Ili vitoshe vizuri tofauti Na kushusha. Jamaa walikuwa wanapakia bila kelele, yaani ukisimamia wala hugombani Na mtu, Na wala haumii mtu, Na bei ilikuwa poa Tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]we me Wa dar japo si mwanaume
Kweli wanaume wa DarKwani uanamume unapimwa kwa kuchimba makaburi,kulia au kupanda mwendo kasi?
Kwa kuchukua muda wako tu kuandika riwaya hiyo hapo juu,tayari ushatutia mashaka juu ya uanamume wako.
Mwanaume hajisifii kama Hadija kopa,mwanaume wa kweli hawezi kudharau uwezo wa mwanaume mwenzake.
Ni mashoga tu na wanawake ndio wenye tabia ya kutambiana nani yupo juu ya mwenzie,nani ana uwezo wa kutemebea na wanaume wengi n.k
Na wewe ni mmoja wao.....!!! Kweli kazi ipo...
.jembe la nini wakati mnatuketea kila kitu huku, tena mnachagua vile vilivyonona, kwanza huku kila sehemu lami baab
Ukizingatia ng'ombe alimchinja yeye na mbaya zaidi anaetenga hicho chakula ni mke wa huyo anaejiita mwanaume wa mkoani. Im proud to be dume la Dar.Anausongo, akitoka kuchimba kaburi anakuta minofu yote ya nyama wamewekewa wanaume wa Dar😀😀😀
Huyu kahamia tu dar.
Siku hizi wanakatishwa ticket za mabasi ya mwendo kasi wakiambiwa yanakwenda mkoani, wanashangaa wakifika kimara safari imekwisha....na nyie bush stars msije mjini, mkija huku mnatusumbua Sana kushangaashangaa, Mara mmetapeliwa, Mara kupiga picha pale askari monument, Mara daraja la kigamboni,
Halafu mnatuchosha Na mimaswali yenu, Mara hii gari inaenda wapi wakati gari zote zimeandikwa, kutangazwa hovyo misikitini Na vituo vya redio kuwa mmepotea, kutuvalia nguo za marangirangi Kama vile disco light, mkienda coco mna poop kwenye maji, bakini hukohuko tutakuja
...na nyie bush stars msije mjini, mkija huku mnatusumbua Sana kushangaashangaa, Mara mmetapeliwa, Mara kupiga picha pale askari monument, Mara daraja la kigamboni,
Halafu mnatuchosha Na mimaswali yenu, Mara hii gari inaenda wapi wakati gari zote zimeandikwa, kutangazwa hovyo misikitini Na vituo vya redio kuwa mmepotea, kutuvalia nguo za marangirangi Kama vile disco light, mkienda coco mna poop kwenye maji, bakini hukohuko tutakuja
....haha, kwani wanaume wa Ni watu gani, Ni wenyeji wa Dar au wakaazi wa Dar, kidogo hii inanichanganya...ID yangu inajieleza, mahali fursa zipo Na sisi tupoNa wewe ni mmoja wao.....!!! Kweli kazi ipo.
...sasa je, jamiiforum yenyewe imeanzishwa Dar, haha Ni vepee kwaniWanaume Wa dar vipi wanasema veeepe...
...si hawa huwa wanafunga safari kuja huku kwenye fiesta, dada Zao daily wanakuja huku then wanatu g'ang'ania hawaraki kurudi huko misigirihawa wa mkoa wanataka ligi wakati bongo yote tunaiendesha sisi.. kampuni zote kali ziko dar . (Huu mchezo hauitaji hasira)