Kwa wanaume waliowahi kuface hii challenge tu!!

kanyaga alafu kaa kimya akikutafuta mwambiye .... ku.......ma yako inamaji mengi,so imechuja sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, uwezi kuitumia nawewe
 
kanyaga sawasawa mkuu........................, alafu funga viooooooooooooooo kama kawa

mla uliwa na muosha uoshwa usipotumia akili unaweza jizolea balaa ni kumpotezea tu watu kama wewe unaishia kujikomoa mwenyewe kwa ujinga toa ushauri wenye afya
 
Hiyo inatokea sana tena wakati unasaka mafanikio hujazikamata hata salaam hupati na ukishamaliza masomo yako ukawa juu ya mstari ukikutana nae anakuchekea na ukimpotezea utasikia maneno mtaani jamaa anaringa. Dawa ya huyo ni kumchangamkia kwa salaam na kumpotezea bila kujenga mahusiano ya karibu
 
Duh Mtambuzi sisi "MIJITU YA BARA" hatujui LIMBWATA bwana nyie wa Tanga ndio mwaijua.TE TE TE TE.Umeniacha hoi MTAMBUZI mwenzio naangalia Germany VS Italy
Limbwata liko kila mahali sema tu kila kabila linaita jina lake.........Muulize Bishanga

Mie kwangau umeme hakuna kuna mwendawazimu kagonga nguzo ya umeme.................
Utanisimulia kesho nani kafungwa............
 
Last edited by a moderator:

ahhahhahaa nimeipenda hiyo!
 

Kwani kisasa hujuwi? Chapa halafu sepa! Halali kujipooza kwa yale machungu ya nyuma.
 
Mnatudhalilisha kwa kweli,kwani ni wanawake tu wanapenda pesa kuna watu wanamapenzi ya dhati
 
Mmoja yuko hapio UDSM kanikwepa tangu niko A'level Tabora Boys, napata shavu anatangaza njaa eti kamtema jamaa yake. Nikatoa neno la kishujaa kaingia miguu miwili, nikazabua mchana usiku. Asubuhi talaka na biti, leo ni almost mwaka umepita......
 
Yaani nilimuonea huruma sana ila sikuwa na kufanya?? tayari nilikuwa nimeshaoa na maisha yangu yanaendelea, ila wakati ule ulikuwa mgumu sana kwangu sitasahau
 
Mmoja yuko hapio UDSM kanikwepa tangu niko A'level Tabora Boys, napata shavu anatangaza njaa eti kamtema jamaa yake. Nikatoa neno la kishujaa kaingia miguu miwili, nikazabua mchana usiku. Asubuhi talaka na biti, leo ni almost mwaka umepita......

Haufai mdau!
 
Mnatudhalilisha kwa kweli,kwani ni wanawake tu wanapenda pesa kuna watu wanamapenzi ya dhati

kama unamapenzi ya kweli nipende mimi nione... Nakuahidi ntakuoa...tehtehtehteh
 
mkuu hapo unachotaka kufanya ni kuthubutu kukutwa na bwana pepsi..yaan huyo binti hafai..tena usimsogelee kabisa ni matatizo makubwa sana utajiletea kaka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…